Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Labda hapo mwisho umemalizia vizuri, all in all Mzee alianza kuvuruga familia ya kwa tamaa yake, hivi kulikuwa kuna sababu gani ya msingi ambayo ilipelekea Mzee kuwa na mahusiano na rafiki ya mke wake ili hali anandoa tayari? Hakuona hili lingeleta mpasuko kwenye familia yake?.
Yaani imebidi niisome hii story yote!
Inasikitisha sn,nilichojifunza, usihukumu!
According to maelezo,huyu alizaliwa kabla Mzee hajaoa nafikiri! So mke wa ndoa alimkuta huyu!
Though kweli walikuwa marafiki sn kutokana na maelezo ya marehemu!
Ila kweli Mzee ndo alizingua aiseee, yaani miaka hiyo ushindwe kumlea mtt ,Tena kiongozi? William alikosa upendo kutoka Kwa wazazi wote, very sad
Labda alilogwa aisee!
Haya wanawake wenyewe wote chali na watt wanapukutika km hivi.
 
Eeebhana ee Kuna episodes nikibofya napelewa chini kabisa kwenye comments,, nakwama wapii?
 
Yaani imebidi niisome hii story yote!
Inasikitisha sn,nilichojifunza, usihukumu!
According to maelezo,huyu alizaliwa kabla Mzee hajaoa nafikiri! So mke wa ndoa alimkuta huyu!
Though kweli walikuwa marafiki sn kutokana na maelezo ya marehemu!
Ila kweli Mzee ndo alizingua aiseee, yaani miaka hiyo ushindwe kumlea mtt ,Tena kiongozi? William alikosa upendo kutoka Kwa wazazi wote, very sad
Labda alilogwa aisee!
Haya wanawake wenyewe wote chali na watt wanapukutika km hivi.
Mzee wake alizingua sana

Ova
 
mngempa maua yake akiwa hai huu mnaoleta ni unafiki achen u snitch
 
Yaani imebidi niisome hii story yote!
Inasikitisha sn,nilichojifunza, usihukumu!
According to maelezo,huyu alizaliwa kabla Mzee hajaoa nafikiri! So mke wa ndoa alimkuta huyu!
Though kweli walikuwa marafiki sn kutokana na maelezo ya marehemu!
Ila kweli Mzee ndo alizingua aiseee, yaani miaka hiyo ushindwe kumlea mtt ,Tena kiongozi? William alikosa upendo kutoka Kwa wazazi wote, very sad
Labda alilogwa aisee!
Haya wanawake wenyewe wote chali na watt wanapukutika km hivi.
Nakubaliana kabisa huyu alikosa mapenzi ya wazazi.
Wazazi wote walishindwa kusimamia nafasi zao kwa mtoto wao.
Pumzika kwa Amani Lemutuz.
Leo ndo nimesoma story yako hii,hakika hata kama ni upande mmoja kama wengi wanavyodai,bado penye shida panaonekana kwa matokea ya tabia ya watoto kwa baba yao.
 
Yaani imebidi niisome hii story yote!
Inasikitisha sn,nilichojifunza, usihukumu!
According to maelezo,huyu alizaliwa kabla Mzee hajaoa nafikiri! So mke wa ndoa alimkuta huyu!
Though kweli walikuwa marafiki sn kutokana na maelezo ya marehemu!
Ila kweli Mzee ndo alizingua aiseee, yaani miaka hiyo ushindwe kumlea mtt ,Tena kiongozi? William alikosa upendo kutoka Kwa wazazi wote, very sad
Labda alilogwa aisee!
Haya wanawake wenyewe wote chali na watt wanapukutika km hivi.
Unajua ndugu mifarakano na wakati mwingine vifo katika familia mara nyingi kuna mambo mengi yanakuwa nyuma yake lakini nikuhakikishie asilimia kubwa husababishwa na kukosa uaminifu kwenye ndoa, mimi na ndugu zangu baba zangu wakubwa fimilia zao zmesambaratika kwasababu ya haya mambo .

Tujitahidi kuwa waaminifu kwenye ndoa zetu hakika maugomvi na visasi vitatuepuka.
 
Kitu ambacho shetani alifanikiwa pale bustani ya eden na ni faida kwake mpaka leo ni kuwafitinisha binadamu na ukiangalia duniani leo ni binadamu wenyewe KWA wenyewe wanadundana bila kujitambua yeye mwenyewe kakaa pembeni.Angalia ukraine ..sudan n.k
 
Back
Top Bottom