Hela ya ubaharia na ya malori labda iliishia college,angesave akawa na plan ya kurudi bongo afungue kampuni ya transportation angekuwa mbali sana kuliko kudanga kwa bashite.Mkuu,
Hapa ni Bamia zimezidiwa na Matango Pori.
Vumilia tu kama umeamua kuvinjari shambani!
Inasikitisha mno mkuu, waTz wengi huwa wanafurahia matatizo ya wenzao. Binafsi baada ya kusoma comments za wengi naona wengi wanajibu kwa kufuata mkumbo sidhani kama hata wanareason kidogo maana huwezi kosa kitu positive kwenye hii simulizi. Mimi namkubali lemutuz kwa kuwa haishi kinafiki ameamua kuishi anavyopenda yeye.asante dada kwa kuliona hilo. I think umaskini ndo chanzo cha chuki. huwa naangalia hata ikitokea ukaanguka na gari, wengi hufurahia na kusema akome, achilia mbali kuibiwa etc.
Inasikitisha mno mkuu, waTz wengi huwa wanafurahia matatizo ya wenzao. Binafsi baada ya kusoma comments za wengi naona wengi wanajibu kwa kufuata mkumbo sidhani kama hata wanareason kidogo maana huwezi kosa kitu positive kwenye hii simulizi. Mimi namkubali lemutuz kwa kuwa haishi kinafiki ameamua kuishi anavyopenda yeye.
Mimi sitaki kujadili personal life ya jamaa wala ya mtu yoyote. Kutelekeza familia sio kipimo cha maisha kwa mwanaume ulimwenguni. Huwezi kujua sababu zilizopelekea mpaka binadamu akafikia maamuzi hayo. Tena suala la kutelekeza familia huwa sipendi kuliongelea kabisa, kwa sababu nimeyaona sana na imetosha. Ukisikia pande moja (KE) utamuona ME ni kiumbe wa ajabu sana hafai kuishi ulimwenguni...lakini ukipata nafasi ya kusikiliza upande wa pili utagundua mambo mengi yalipelekea ME kuondoka na kuendelea na maisha mengine. Kama wewe unamjua kama ulivyoainisha hapo juu ungekuja na hoja na sio mashambulizi binafsi ya chuki dhidi ya William. Anacholipwa yeye ni tosha kwake kuendelea na maisha anayoyaona bora kwake...who am I to judge!? Tatizo letu Watanzania tunapenda kuishi maisha ya kuigiza na kufurahisha umma. Pia tunapenda kuishi maisha yetu kwa kufurahisha wengine au kuwapangia wengine jinsi ya kuishi maisha yao ili yawafurahishe nafsi zenu.
Jamaa anaishi maisha yake, so get on and live yours.
Kuna watu wakiweka historia zao za kweli humu, zile za kuzaliwa uswahilini mbuzi kalamba reli, mama muuza gongo baba mpigisha kolokolo. Wame-hustle kichizi mpaka leo respect wanaburuza life, huyu Le Mutuz cha mtoto tu. Huyu kakua anakula mayai ya bure Ikulu ataongea nini, wakati watu wamezaliwa uswahilini mayai anasa.
Hah hah hah hah hahWe're even man... na hata hapo uliposema tafsiri ya mafanikio, of course, kila mmoja na tafsiri yake!! Na mwenyewe ni kweli anajiona keshatoboa... and it's okay!
Nadhani wengine kinachotusumbua ni ile kuona umri wake umeenda lakini ndo kwanza leo hii anahangaika na v-blog kazi ambayo inaonekana it's fit for Millennials. Hatuioni kama ni kazi ambayo mtu anaweza kujivunia! Lakini kwangu naona like wtf! Yaani huyu mzee kaamua kula sinia moja na vijana na kwa staili yake!!
Ah! I bow down....
Na tunaweza kumchukia tupendavyo but ukweli ni kwamba, the old man is happy na ndio maana amechagua kuishi apendavyo yeye na sio what the society expects him to be!
Na mimi nikizeeka, nataka kuwa kama Le Mutuz 😀😀😀 na kwavile nishaanza kuzeeka zeeka kwa mbali, naanza kupiga jaramba!!!
Historia ya maisha inaanza
Kazaliwa then shule.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu le kibamia maisha yameanzia baharini [emoji38]
Nyinyi ndio wale vibaraka wake kwenye kile kiblog chake uchwara?
Mtu ameondoka Tanzania kafunga mkanda unasema ni mpambanaji?
Uliza mabaharia kipindi hicho ni lazima uingie mamtoni kwa store away melini, na ukikutana na Warusi wakikutowa chimbo wanakutosa baharini unabaki kuwa historia.
Ok tunasubili part ngapi sijui inayofuata tuone simulizi yeye na mke wake Neema Ngwilulupi walikutana wapi? Ni New York au wapi?
Na je ni kwa nini Neema Ngwilulupi ameajiliwa kwenye Tanzania mission New York wakati hana sifa je ilikuwa ni influence ya nani? Alipata kazi kabla ya kuwa mkwe wa Malecela au baada ya kuwa mkwe wa Malecela.....
Nitarudi, leo tupo hapa.
Nina imani page zimeshafika 10 sasa sauti za umeme zitashuka kuja kutililika hapa.
Fatilia kaz za kuzibua mifereji NY wanalipwaje afu urudi hapa. Watoto wa iswahilini mnashida sana, usifikili unavyodharau kaz bongo huku na US ni hivyo, ile ni nchi ya kibepari huwez kaa kwa kaka au shemeji et unaaply kaz, kule huwez mkopa mtu hela. Hata uwe na degree utafanya kaz ilyo mbele yako ili uishi km hujawa omba omba wa barabarani basi watakupumulia wenzio.Huyu babu alirudi na kende zke plus kibamia hata 500$$ hakurudi nayo,inaonekana hakua na kazi ya maana zaidi ya kuzibua mifereji
Ndugu yangu we acha tu, humu Jf kunakuaga na watu pumba sn. Lkn ndo uhuru wa maoni, wasamehe bure.Hata akiwa hakusoma hata vidudu shida iko wapi,
Soma historia yake huenda ukapata kitu cha kukutoa katika huo msongo wako wa mawazo.
Lol.
Jomba alirudi na bukta tuFatilia kaz za kuzibua mifereji NY wanalipwaje afu urudi hapa. Watoto wa iswahilini mnashida sana, usifikili unavyodharau kaz bongo huku na US ni hivyo, ile ni nchi ya kibepari huwez kaa kwa kaka au shemeji et unaaply kaz, kule huwez mkopa mtu hela. Hata uwe na degree utafanya kaz ilyo mbele yako ili uishi km hujawa omba omba wa barabarani basi watakupumulia wenzio.
DuhJomba alirudi na bukta tu
Story teller mbona povu lakutoka tena leta utamu huo tuhondomoleNikupe historia yake we kama nani sina mda mchafu wa kutoa history ya mtu
Baharia Le Mutuz alikuwa Baharia wa Kishua ndo maana hata airticket clearance alipewa na Gavana wa BoT!!!!Nyinyi ndio wale vibaraka wake kwenye kile kiblog chake uchwara?
Mtu ameondoka Tanzania kafunga mkanda unasema ni mpambanaji?
Uliza mabaharia kipindi hicho ni lazima uingie mamtoni kwa store away melini, na ukikutana na Warusi wakikutowa chimbo wanakutosa baharini unabaki kuwa historia.
Nshaelewa maana yake sasa!! Na kwa nini anaitumiaNye nye nye ni kebehi hasa wale kwa wale tortured people waliokuwa nakasero dungeon enzi za Idd Amin.
Asili ya hilo neno ni wale askari waliokuwa wanawatesa.
Kuwapiga nyundo kwenye pumbu , kukata sikio mtu anapolia kwa maumivu na wao wanamfatisha nyeee nyee nyee.
Source:
Mtesaji mstaafu ughaibuni