Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Hahahaha umenywea kama umeonyeshwa ile video yako ya utupu..

Kuwa mpole ivoivo..you never had a life till umefika miaka 50+ leo eti unajinasibu akili kubwa..takataka kabisa ww..!!

Eti unaandika unafundisha watu maisha..ni mwendawazimu anaweza kifuata ushauri wa ndezi kama wewe..wewe ambae umetengwa na ukoo mzima kwa kutaka kumuua maam yako wa kambo umrithi baba yako.

Wewe ambae hata mama wa watoto anadiriki kukidhalilisha na kukutukana mitandaoni.

Wewe ambae unatumika kujipendekeza kwenye maisha ya watu ndio upate kula

Wewe ambae umemtekeleza mama yako mzazi kwenye kichuguu mpaka anafariki..na mpaka leo hata kaburi hujajenga eti udongo..stupid idiot!!

Nakuangalia hapa nacheka sana..yaaani hujitambui tu ulivo tu likituko kama tahira fulani hivi



ndio sababu baba yako alikutelekeza mapema sana..yaani you are nothing but a wasred sperm..emu jione ulivo kama puto
 
hivi kweli unaweza kumdate msichana mzuri namna iyo kumbe mamako yupo kwenye kile kipagale? si laana hiyo?

- Mama yangu aliamua kuishi maisha ya Tunduma ningekua sikumuomba ahamie nyumba yangu ya Kinyerezi kweli leo ningekua na gulity lakini alikataa akamua kuishi Tunduma, kama wananchi wa Tunduma so wala hainisumbui.

- Halafu mama yangu ni Marehemu mngeachana naye mpigane na mimi mwenyewe hahahahaha

le Mutuz
 
malecela, nasema toka moyoni, mimi sio adui yako, Mungu ananiona. wala usipaniki na mimi wala kupoteza muda, pia, ni ukweli toka moyoni mwangu kwamba story yako ni nzuri na ninafurahi kumbe kweli una mpango kukitoa kitabu, sisemi kwa dhihaka, mimi mwenyewe story yako nimeipenda na singependa kukukatisha tamaa. kama kuna popote nimekukatisha tamaa uniwie radhi story yako ni nzuri na yafaa wengi waisome, inafundisha sana, sema tu tumetofautiana baadhi ya vitu nje ya story. pia, naona sijui ulishawahi kung'atwa na nyoka? mbona unajihisi vibaya na kila anayekupinga unamwona kama ni adui yako ambaye pengine umepambana naye miaka mingi?hahahaha, mimi sio, Mungu akusaidie utambue hilo. tuishie hapo mkuu, nakupongeza kwa yote, nisikuvuruge kweli tuendelee na mengine nisingependa kubishana na wewe wala kukuudhi pasipo na faida yeyote pande zote mbili.
 
We una nyumba kinyerez au lile pagale ambalo alijaisha mpka leo
 
mimi nilidhani huyo bimkubwa ni mwanachi wakaida tu na amekutana na le mubebez baada ya le mubebez kwnda kwake kutoa msaada tu... so baada ya lemubebez kutoa msaada kwa huyo bimkubwa ndio wakaamua kupiga pictr ..kumbe ni mama yake mzazi !!?..MUWE MNAACHA MASIHARA BASII MBONA MNAMPKAZIA MWENZENU ..mtu mwenye mafanikio hawezi kumuacha bimkubwa wake aishi kwenye hali kama hiyo ..nakama alivyosema mwenyew kuwa alipokuwa USA alikuwa anamtumia pesa...so kama mama yake ndiye huyo hizo pesa alizokuwa anatumiwa alikuwa anazifanyia nini mbona nikama alikuwa anaishi morogoro chamwino ..
 
Unahisi ni kwanini aligoma kuishi kwenye bangaloo lako Kinyerezi akaona ni afadhali akaishi kwenye kibanda chakavu "mbavu za mbwa" huko Tunduma?? Hako kanyumba wallah huwezi kuamini kanakaliwa na mke wa aliyekuwa waziri mkuu wa nchi yetu ambaye bado anapokea pensheni za mamilioni...

Hako kanyumba hata Rex... yani dogi langu pale home huwezi kumlaza kule akakubali.
 

- Toka umeanza naona unasema maneno mengi sana aliyeyaishi maisha ni mimi na nimeamua kuandika my story, unapingana na mimi unatofautiana na mimi sijui hata effect yake ni nini hasa kwa maisha yangu maana sikufahamu na wala I could care less na maisha yako hayanihusu au kutofautiana na mimi sijui ni what effect in my life,

- So unapingana na wewe mwenyewe kwa sababu my life goes on, sasa hivi nipo ofisini nikitoka nyumbani baadaye na wabebezz Hotelini kula bataz, now niambie unatofautiana na mimi ina effect gani?

le Mutuz
 
- hahahaha nina laana na huku nimemzika na ninamjengea kaburi, wenye laana unawajua au unasikia tu? unajua maana ya laaana? hahahahahaha

le Mutuz
No, tuongee kiutu uzima, unaweza kuwa haukupata nafasi kumsaidia sana kwasababu ulikuwa mbali na wakati huo western union au money transfer zingine hazikuwepo, au pengine ulitingwa tu, lakini mtu amekuzaa ndio ujisifie kuja kumjengea kaburi?..OK, tusijadili mambo ya marehemu mzazi nisije kukukumbusha machungu najua mzazi anauma, mimi mwenyewe baba yangu mzazi alifariki nikiwa sekondary najua maumivu. well, lakini hata mzee wako nafikiri alitakiwa amkumbuke sikulaumu wewe peke yako, haiji kichwani ujue na ninahisi kuna mgogoro mkubwa sana ktk familia yako na utakuwa umepambana vita vikali sana aisee kama mzee alijua wewe ni mwanae na akamsahau mamako hivyo? mimi nina watoto kadhaa nje lakini siwezi kumwacha mchepuko wangu (hata kama sitembei naye tena) atesehe hivyo na mimi nina uwezo au position aliyokuwa nayo babako au hata hii niliyokuwa nayo sasa. haiwezekani. nawapa pole toka moyoni.
 

- Alisema hawezi kuacha makaburi ya ndugu zake Tunduma, nikaamua kununua nyumba Mbeya mjini akaishi bado akakataa well sio muhimu sana ila nahisi nimekusaidia.

le Mutuz
 
Hapo ni Tunduma ujue
 

- hahahaha naona unajitekenya na kucheka mwenyewe what is your point so far? hahahahahahahha

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…