Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Well, thanks boss ila I wish mnegkua mnawajua watoto wengi wa Viongozi wa zamani wanaohaha hapa mjini kwa sababu baba zao walipokuwa kwenye power hawakufikiria nafasi zao kuna siku zitaisha, ninamshukuru Mungu kila siku kwa maisha aliyonipa na ninayoyapigania kila siku na ninafanikiwa.

le Mutuz
Kwa maisha ya kipindi hicho alivyochukua maamuzi hayo Le Mutuz, Mobimba, Le kokobanga, Nye Nye Nye, wasn't easy kuwa na mawazo kama hayo I can call him as an extraordinary son miongoni mwaka watoto wa vigogo enzi zile.
 
- Ni historia ya "MY INSTAGRAM'S DATING EXPERIENCE" ni muhimu sana vijana wakajua yanayoendelea nyuma ya pazia la Instagram mimi ninayaishi now wewe huyajui so subiri nitakapoandika maana pamoja na mengi yaliyomo ni pamoja na uwezo wa kutembea na Wabebezz wengi kwa wakati mmoja huku wanajuana, sio jambo la kawaida au unasemaje?

- Ni muhimu tukawekana sawa kabla sijaendelea na Chapter zingine za my "AMERICAN EXPERIENCE"

le Mutuz
the question should be "mtu mwenye umri wa miaka zaidi ya 50 (hata kama anasema 60 hajafika), unawezaja kutamba kutembea na wasichana insta ambako majority wapo chini ya 30 years wenye uwezo wa kukuita baba. OK, tuache hayo, lete story yako tuendelee kula ubuyu. halafu nilishauri utengeneze kitabu, story yako ni nzuri kusema kweli, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
- Hivi kweli unaamini wewe unaweza kunisumbua mimi? hahahahahahhaa like seriously?

le Mutuz
umepitia vyema comment zangu mkuu..kuna sehemu yoyote ambayo inajieleza kuwa naweza kukusumbua...

wewe malizana nakina the List mkuu..mimi league yenu siiwezi "" wengine tunamiaka 70 hata KENYA hatujawahi kufika ..so nakusumbuaje kwa mfano...

hahaaaa
 
the question should be "mtu mwenye umri wa miaka zaidi ya 50 (hata kama anasema 60 hajafika), unawezaja kutamba kutembea na wasichana insta ambako majority wapo chini ya 30 years wenye uwezo wa kukuita baba. OK, tuache hayo, lete story yako tuendelee kula ubuyu. halafu nilishauri utengeneze kitabu, story yako ni nzuri kusema kweli, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
ngiiii ngiiiiiii hatari aiseee hahaaaa
 
inategemea na class yahao wanawake wa kibongo unaowazungumzia mkuu ...so hapa wazungumzia class ipi ..??
tuanzie hapo mkuu

- Kwa hiyo unasema kuna class bongo wanakukubali tu hata kama hawaamini kua hujafanikiwa kimaisha? hahahahaha haya ni mafurikoz huwezi kushidana nayo mkuu subiri kazi itakapoanza ndio utaelewa vizuri.

le Mutuz
 
umepitia vyema comment zangu mkuu..kuna sehemu yoyote ambayo inajieleza kuwa naweza kukusumbua...

wewe malizana nakina the List mkuu..mimi league yenu siiwezi "" wengine tunamiaka 70 hata KENYA hatujawahi kufika ..so nakusumbuaje kwa mfano...

hahaaaa
Huuuhuuu....huyu kiboko yake ni list kambakiza mweupee usema ukweli...tuache masihara list anaongea point!

Yaaan kampangua openly, mambo ni [emoji91] [emoji91]
 
Mkuu ahahaha, sipiganii chochote hapa, ndo maana nilisema ngoja tubaki kwenye hoja ili nisikuvunjie heshima na flow yako ya satory ya America iendelee vizuri nisikudisturb, sema tu kuna baadhi ya mawazo tulitofautiana ila yaliyo mengi ninakuunga mkono. Ok, tafadhali endelea na story yako tupate kujua zaidi. kama ni kuishi ni kwamba, nimesoma na kuishi Canada (Waterloo Ontario), nimeishi Toronto pia, nimeishi Italy kwa masomo pia, nchi za Ulaya ambako sijagusa nafikri ni Ureno (namaanisha Ulaya magharibi). hata hivyo hii haina maana kwa yeyote, none of business ya wengine. thanks kwa hoja.lete story mkuu.

- Nimejairbu kukuelewa what is your point? naona unapigana na tunatofautiana mimi sikufahamua sasa kutofautina kwako na mimi kuniongezea au kupunguza nini sijui? Otherwise sijaona point yako ya msingi so far ni nini? Kusema na wewe umeishi majuu au what? Andika na wewe Historia yako please

le Mutuz
 
- Kwa hiyo unasema kuna class bongo wanakukubali tu hata kama hawaamini kua hujafanikiwa kimaisha? hahahahaha haya ni mafurikoz huwezi kushidana nayo mkuu subiri kazi itakapoanza ndio utaelewa vizuri.

le Mutuz
HAYA MWAGA MAMBO HAYO MKUU ..nasubiri kuona hao mademu waliokulwa na mtu Mwenye mafanikio ...
 
- Nimejairbu kukuelewa what is your point? naona unapigana na tunatofautiana mimi sikufahamua sasa kutofautina kwako na mimi kuniongezea au kupunguza nini sijui? Otherwise sijaona point yako ya msingi so far ni nini? Kusema na wewe umeishi majuu au what? Andika na wewe Historia yako please

le Mutuz
HHAHAAAAA
 
umepitia vyema comment zangu mkuu..kuna sehemu yoyote ambayo inajieleza kuwa naweza kukusumbua...

wewe malizana nakina the List mkuu..mimi league yenu siiwezi "" wengine tunamiaka 70 hata KENYA hatujawahi kufika ..so nakusumbuaje kwa mfano...

hahaaaa
Atakuwa kakufananisha na The List
 
Huuuhuuu....huyu kiboko yake ni list kambakiza mweupee usema ukweli...tuache masihara list anaongea point!

Yaaan kampangua openly, mambo ni [emoji91] [emoji91]
kwanza nachompendea list ni bigger mind sema kichwa chake kimevurugika sijui alikuwa na contena la makinikia so limekwama pale TPA mpka leo ..so hasira zake huwa anazimalizia kwa wale wanao amua kumzingua..hahaa
 
Back
Top Bottom