witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kama page ya 102 hivi..Kamjibu sijaona ebu niquote [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama page ya 102 hivi..Kamjibu sijaona ebu niquote [emoji3]
Kwa maisha ya kipindi hicho alivyochukua maamuzi hayo Le Mutuz, Mobimba, Le kokobanga, Nye Nye Nye, wasn't easy kuwa na mawazo kama hayo I can call him as an extraordinary son miongoni mwaka watoto wa vigogo enzi zile.- Well, thanks boss ila I wish mnegkua mnawajua watoto wengi wa Viongozi wa zamani wanaohaha hapa mjini kwa sababu baba zao walipokuwa kwenye power hawakufikiria nafasi zao kuna siku zitaisha, ninamshukuru Mungu kila siku kwa maisha aliyonipa na ninayoyapigania kila siku na ninafanikiwa.
le Mutuz
hahaaaa Jamaa nyokolosoJamaa noma....halafu anapangua point mpaka unabaki mweupee...
Haaaa haaa eti anamwambia le mutuz ni ndondocha...fool pathetic huyu jamaa kapinda asee
Hilo ndo tatizo lako sasa....jamaa kaongea peace we unaanza kujishebedua!- Hivi kweli unaamini wewe unaweza kunisumbua mimi? hahahahahahhaa like seriously?
le Mutuz
the question should be "mtu mwenye umri wa miaka zaidi ya 50 (hata kama anasema 60 hajafika), unawezaja kutamba kutembea na wasichana insta ambako majority wapo chini ya 30 years wenye uwezo wa kukuita baba. OK, tuache hayo, lete story yako tuendelee kula ubuyu. halafu nilishauri utengeneze kitabu, story yako ni nzuri kusema kweli, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.- Ni historia ya "MY INSTAGRAM'S DATING EXPERIENCE" ni muhimu sana vijana wakajua yanayoendelea nyuma ya pazia la Instagram mimi ninayaishi now wewe huyajui so subiri nitakapoandika maana pamoja na mengi yaliyomo ni pamoja na uwezo wa kutembea na Wabebezz wengi kwa wakati mmoja huku wanajuana, sio jambo la kawaida au unasemaje?
- Ni muhimu tukawekana sawa kabla sijaendelea na Chapter zingine za my "AMERICAN EXPERIENCE"
le Mutuz
Ilibidi nipande juu kutafuta [emoji3][emoji3] nimechekaKama page ya 102 hivi..
umepitia vyema comment zangu mkuu..kuna sehemu yoyote ambayo inajieleza kuwa naweza kukusumbua...- Hivi kweli unaamini wewe unaweza kunisumbua mimi? hahahahahahhaa like seriously?
le Mutuz
Haaa haaa...prishaz kabaki anacheka tuuIlibidi nipande juu kutafuta [emoji3][emoji3] nimecheka
ngiiii ngiiiiiii hatari aiseee hahaaaathe question should be "mtu mwenye umri wa miaka zaidi ya 50 (hata kama anasema 60 hajafika), unawezaja kutamba kutembea na wasichana insta ambako majority wapo chini ya 30 years wenye uwezo wa kukuita baba. OK, tuache hayo, lete story yako tuendelee kula ubuyu. halafu nilishauri utengeneze kitabu, story yako ni nzuri kusema kweli, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
inategemea na class yahao wanawake wa kibongo unaowazungumzia mkuu ...so hapa wazungumzia class ipi ..??
tuanzie hapo mkuu
the List alikuwa ameshaanza kumzoom ...Haaa haaa...prishaz kabaki anacheka tuu
Huuuhuuu....huyu kiboko yake ni list kambakiza mweupee usema ukweli...tuache masihara list anaongea point!umepitia vyema comment zangu mkuu..kuna sehemu yoyote ambayo inajieleza kuwa naweza kukusumbua...
wewe malizana nakina the List mkuu..mimi league yenu siiwezi "" wengine tunamiaka 70 hata KENYA hatujawahi kufika ..so nakusumbuaje kwa mfano...
hahaaaa
Mkuu ahahaha, sipiganii chochote hapa, ndo maana nilisema ngoja tubaki kwenye hoja ili nisikuvunjie heshima na flow yako ya satory ya America iendelee vizuri nisikudisturb, sema tu kuna baadhi ya mawazo tulitofautiana ila yaliyo mengi ninakuunga mkono. Ok, tafadhali endelea na story yako tupate kujua zaidi. kama ni kuishi ni kwamba, nimesoma na kuishi Canada (Waterloo Ontario), nimeishi Toronto pia, nimeishi Italy kwa masomo pia, nchi za Ulaya ambako sijagusa nafikri ni Ureno (namaanisha Ulaya magharibi). hata hivyo hii haina maana kwa yeyote, none of business ya wengine. thanks kwa hoja.lete story mkuu.
HAYA MWAGA MAMBO HAYO MKUU ..nasubiri kuona hao mademu waliokulwa na mtu Mwenye mafanikio ...- Kwa hiyo unasema kuna class bongo wanakukubali tu hata kama hawaamini kua hujafanikiwa kimaisha? hahahahaha haya ni mafurikoz huwezi kushidana nayo mkuu subiri kazi itakapoanza ndio utaelewa vizuri.
le Mutuz
HHAHAAAAA- Nimejairbu kukuelewa what is your point? naona unapigana na tunatofautiana mimi sikufahamua sasa kutofautina kwako na mimi kuniongezea au kupunguza nini sijui? Otherwise sijaona point yako ya msingi so far ni nini? Kusema na wewe umeishi majuu au what? Andika na wewe Historia yako please
le Mutuz
Huuuhuuu....huyu kiboko yake ni list kambakiza mweupee usema ukweli...tuache masihara list anaongea point!
Yaaan kampangua openly, mambo ni [emoji91] [emoji91]
Atakuwa kakufananisha na The Listumepitia vyema comment zangu mkuu..kuna sehemu yoyote ambayo inajieleza kuwa naweza kukusumbua...
wewe malizana nakina the List mkuu..mimi league yenu siiwezi "" wengine tunamiaka 70 hata KENYA hatujawahi kufika ..so nakusumbuaje kwa mfano...
hahaaaa
Ahahha lazima acheke tu utafanyaje ukipanick imekula kwako kwa The listHaaa haaa...prishaz kabaki anacheka tuu
kwanza nachompendea list ni bigger mind sema kichwa chake kimevurugika sijui alikuwa na contena la makinikia so limekwama pale TPA mpka leo ..so hasira zake huwa anazimalizia kwa wale wanao amua kumzingua..hahaaHuuuhuuu....huyu kiboko yake ni list kambakiza mweupee usema ukweli...tuache masihara list anaongea point!
Yaaan kampangua openly, mambo ni [emoji91] [emoji91]
kweli mkuu ..anamawenge maana zile comment za the list nikama tindikali ..Atakuwa kakufananisha na The List