Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Thanks boss, imagine nilipotaka kwenda Majuu ningetafuta ushauri wako ingekuaje? Ndio maana hua sihitaji ushauri wa mtu on anything never!

le Mutuz
Kwa kuwa nimekushauri hivi unafikiri ningekuwa na ushauri unaofanana kwa kila jambo? Hata hivyo wakati unaenda majuu nilikuwa sijazaliwa. Ushauri huu usiwe precedent .
 
Kwa kuwa nimekushauri hivi unafikiri ningekuwa na ushauri unaofanana kwa kila jambo? Hata hivyo wakati unaenda majuu nilikuwa sijazaliwa. Ushauri huu usiwe precedent .

- Point yangu ni sijawahi kusikiliza ushauri wa mtu maana nilijifunza toka nikiwa mtoto kupigana mwenyewe na mambo yangu so pole sana mkuu, ndio maana watu wengi wanaonichukia huwa wanasema ninajifanya ninajua sana hawakosei ni kweli huwa sisikilizi ushauri kama wako.

le Mutuz
 
Hivi Yule mama wa Kihaya akikaa Sinza na akaja kuolewa na Mzee Ramadan Nyamka mama yake Rankeem Ramadhan Mzee wa ndani ya nyumba una undugu naye?
 
HAHAAAAAAA AISEEEE
HALAFU UKIWAGA UNAJIBU COMMENT ZAKO HUMU UWE UNA NITAG MKUU ...MAANA HUWA ZINAONGEZA SIKU ZA KUISHI...DAAAHH HAHAAA
Lione mbona huniiti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
 
mkuu tusibishane, mimi ninakufahamu vizuri sana, usifikiri nimekufahamia kwenye mitandao. sasa kulinda heshima yako ngoja tujadili mengine, ila msg yangu ndio ilikuwa hiyo. lakini yote katika yote, still kuna vitu vingi nimejifunza toka kwako hasa kufanya kazi kwa bidii na kuvumilia vitu, pamoja na kwamba kuna mapungufu mengi sana ambayo sihitaji kabisa kujifunza toka kwako kwasababu kuna baadhi ya tabia zako mimi nimeziepuka na zimenipa faida kubwa sana maishani mwangu. ndo maana nilikuwa nasema usisema una akili kubwa, acha watu ndio wakuite una akili kubwa, wewe binafsi huwezi kujijua.

vilevile, unaweza kuwa unamiss point ya definition ya "maisha mazuri", what does maisha mazuri mean to you? ni kutoka na wabebez, kwenda vacation dubai au souz, kuiishi 30 years majuu? kula vizuri kwenye appartment ya kupanga?, definition yako ya maisha mazuri ni ipi? kuishi na mwili mkubwa kama tembo kama unakula garbage kila siku?
hahaaa wabongo nyokooo ..hiyo line ya mwisho ninecheka mnooo aiseee
 
- Hizi picha zingekua na ubaya wowote nisingezi post kwenye Instagram yangu ni mimi mwenye nilizipiga na kuzi post, that is my Mother ilikua ni mara yangu ya kwanza kumuona after almost 31 years, nilipo ondoka Dar nilimuacha ana maisha mazuri sana hapo nikamkuta ameamua kuishi maisha ya Tunduma.

- Seriously sioni hoja ya msingi hapa so far naona ni attacks tu za kitoto amabazo nimezizoea sana mitandaoni, tatizo langu sio kujenga kaburi kwanza ilikua kuheshimu wananchi wa tunduma na pili muda ninao mdogo sana ndio maana hata kujenga sasa hivi nimeamua kutuma watu nitaenda likiisha,

- Naona makelele mengi lakini hoja ya msingi sijaiona, labda ungeweka kaburi la mama yako na nyumba uliyomjengea labda kidogo ningekuelewa au unasemaje?

le Mutuz
Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!

akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?

Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!

Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??

1519052521968.png


tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??

Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
 
1. Mwanaume haishi kwa kivuli cha mzazi wake, ni mpumbavu tu hulia na kelele za 'my dad'..

Na kwanini humzungumzi mama yako mzazi uliyemtelekeza kipindi anaumwa kama una hela kama umavojinasibu..emu onyesha ata receipt ya pesa uliyotuma kwa mama yako kipindi anaumwa?? Kwanini historia ya mama yako inakupa kichefichefu..ina maana unaona aibu kias hicho kuwa na mzazi kama yeye??

Mama yako alikufanyia kosa gani mpaka unaona aibu kias hiki?? Una zungumza una akili kubwa..najiuliza inawezekanaje mtu anaejinasibu kuwa na maisha mazuri kama unayoandika amuache mama yake ajiuguze na kufariki katika nyumba inayovuja..najua unajua picha zipo!!

2. Swala la ndugu zako na sumu..

Unataka kuaminisha watu kuwa dada msomi dokta Mwele Malecela anaweza kukuonea wivu mpaka kutaka kukiwekea sumu..kwa lipi ulilonalo pimbi kama wewe??

Wewe ambae ulikuwa unafanyia nduguzo fujo na kuwachafua kwa kutaka kumrithi baba yako akiwa bado hai??

Akili kubwa ulitonayo wewe ni ipi ya kiatngaza na kuchafua nduguzo au kuonyesha ufa zilizopo kwenye ukoo wenu mitandaoni

3. Swala la watoto halikufanyi kuwa na familia..ni kama ilivo kwa kuchangia damu moja haiwafanyi kuwa ndugu..

Najiuliza mtu mwenye akili kubwa ambae ana mika zaidi ya 60+ atakuwa amewafanyia nini wanae mpaka wamsuse na kuona aibu kuwa na baba kama wewe..umri huo aibu zako zimewafanya wanao kujificha kwenye vichaka.

Narudia tena you have no one to call a family!!

4. Yaani akili kubwa ni kujivunia kulipiwa bando?? Duh we kweli punguwani?? Mpaka umri huo bado unakuwa na matatizo ya vocha ya bando?? how is it even possible mwanaume kutafuta vitonga ya vitu kama vocha??

Nikuambie tu hatua niliyoko mimi sio tu aibu bali ni matusi kifanya kazi ya kipumbavu kama yako..!!

Mzee umeruka stage na kwa sasa hicho unachoita mafanikio ni harakati ambazo zilitakiwa afanye mwanao anaetafuta maisha sio ww bibi na miaka yako iyo 60...saivi ulitakiwa uwe umetulia unakula ugoro sio kujibizana na mama wa watoto wako mitandaoni ..idiot!!

nikukumbushe tu mimi siishi kwa kuwa na followers kwaiyo wewe kunifollow au la..i dont give a ****!!..kwanza ni aibu kuwa na follower mpuuzi wa aina yako..idiot!!
Haaaaa haaaaa....si kwa kichambo hichi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji91] [emoji91]

Mtu unaweza kujimurder chaaa!
 
Back
Top Bottom