Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Mwanaume anaejitambua hawezi kuishi kwa kivuli cha mzazi wake..huwezi katika umri huo ukawa bado pussy kias hicho kwamba kila hoja my dad ooh alifanya hivi mara vile..mbona bado mjinga sana ww..unajiita vipi mwanaume mwenue mafanikio wakati ukienda kwa watu cha kwanza wanachotambulishwa ni mtoto wa fulan..yaani bado unaishi kwa kivuli chake..stupid kabisa.

Na nikuombe tu unieleweshe AKILI KUBWA ni ipi?? Kwamba katika umri ambao retirement ndio unamiliki an online t.v with unexperienced and cheap workers sijui saba.

Akili kubwa ni kwamba you are almost 60+ na bado unaishi kwenye apartment ya kupanga kwamba huna sehemu unayoweza sema hii ni nyumba yangu kwa maana ya ujenzi na umiliki

Akili kubwa..ni katika miaka yako 60+ huna kitu kinachoitwa familia..yaani sio ya kwako kwa maana ya watoto wako tu lakini ata ndugu zako wamekutenga??

Akili kubwa katika miaka yako ya 60+, PICHA ZA UCHI zikionyesha maumbile ya ukinyago uliyonayo zinasambaa mitandaoni..

Akili kubwa uliyonayo wewe ni ipi..kwamba katika miaka ambayo mtu anatakiwa kuwa relaxed na kuenjoy matunda ya ujana wake wewe ndio tako liko barabarani na mitandaon kwamba unatafuta maisha.

Akili kubwa uliyonayo wewe ni ipi..?? Kwamba katika miaka ya 60+ uliyonayo unajibizana na wanawake mitandaon mpaka matusi ya nguoni??

hahahah emu nieleweshe akili kibwa uliyonayo wewe ni ipi maana the way i see it naona upuuzi mtupu wa mtu aliyekurupukia maisha uzeeni na sasa anaforce maisha ambayo alipaswa kuyaishi akiwa kwenye 30's.
aiseeee hahaaaaa sasa katika huo umri siilipaswa na mimi niwe mmiliki wa apartment zangu ..kama nikweli Nina akili kubwa ...NIMEJARIBU KUYASOMA TU MAWAZO YA Shunie anavyowaza...hahahaaaa
Shunie bwana
 
Mkuu asante sana ubarikiwe mnooo yaan kweli kaniunblock bila juhudi zako ningeendelea kula block

Acha nikupe zawadi ya makiss tu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] mpaka nikuchafue na mate mwili mzima
Niliona ukilalamika sana na kubembeleza nikaona wacha nikuombee kwa Le Kokobanga, Mobimba ili na wewe ufurahie uhondo wa post zake kule Insta. Ha ha ha ha ha haya mkuu Shunie , asante kwa hizo "kiss".
 
Nimegundua percent kubwa ya watu wanaomdiss Le mutuz wako huko bongo ila wengi walioko mambelez wanamuelewa sana hayo maisha aliopitia yapo sana ughaibuni. Na wengi wanaomchukia ni sababu za stress tu za bongo ingawa wenyewe wanajidai bongo hamna stress. Huyo wa melini achana nae ni baharia uchwara anasikiliza stories za vijiweni. Tuna series iendelee le mutuz.
Kwa taarifa yako kabla ya kuwa melini nilikuwa BAHARIA wa inchi KAVU.. Nimeanza kusafiri nikiwa na umri wa miaka 20... Now Nina 42,, nishasafiri INDIA, ZPAKISTAN.. IRAN.. TURKY,, GREECE,, SOUTH,, MADAGASCA.. ITALY,, SPAIN,, BELGIUM.. sasa nipo melini nazunguka na MADUDE TU... huyo atawadanganya nyie msiojuwa hata SAFARI NI KITU GN... hayo aliyoongea chumvi ni nyingi kuliko MBOGA... tumepitia MAISHA magumu kuliko huyo anayedanganya watu.. NISHALALA NJE SANA,, INDIA,, ,, nchi ambayo MBWA ana THAMANI kuliko mtu mweusi.NISHALALA saba MAKABURINI PAKISTAN.. . Na nimeishi,, nikapambana nikasafiri kwenda TURKY.. UKAWA NDY mwanzo wa safari zangu... Kwhyo tunapopinga haimaanishi ni wivu au chuki,, tunataka msioelewa kama nyie mpate faida,, msidanganywe.. Na MABAHARIA WA NCHI KAVU
 
aiseeee hahaaaaa sasa katika huo umri siilipaswa na mimi niwe mmiliki wa apartment zangu ..kama nikweli Nina akili kubwa ...NIMEJARIBU KUYASOMA TU MAWAZO YA Shunie anavyowaza...hahahaaaa
Shunie bwana
[emoji15][emoji15][emoji15] khaa me siwazi hivyo nina furaha yangu ya kufunguliwa insta huko ndio ninachowaza usinisababibishie nikala block tena
 
839125313e26b18180f1cdb9b0294620.jpg
vipo VYETI 11 vya Sumatra.... HICHO ni baadhi tu
Mwenzio hajapandia meli Tz,kwa hiyo hawezi kuwa na hizo babumash za Sumatra ambazo vinapatikana bila msuli
Kajipange urudi tena kwenye mashindano ya kumdiss mwenzako as if ndo kitu kitakachokupa credit ktk maisha uliyonayo sasa
 
Kwa taarifa yako kabla ya kuwa melini nilikuwa BAHARIA wa inchi KAVU.. Nimeanza kusafiri nikiwa na umri wa miaka 20... Now Nina 42,, nishasafiri INDIA, ZPAKISTAN.. IRAN.. TURKY,, GREECE,, SOUTH,, MADAGASCA.. ITALY,, SPAIN,, BELGIUM.. sasa nipo melini nazunguka na MADUDE TU... huyo atawadanganya nyie msiojuwa hata SAFARI NI KITU GN... hayo aliyoongea chumvi ni nyingi kuliko MBOGA... tumepitia MAISHA magumu kuliko huyo anayedanganya watu.. NISHALALA NJE SANA,, INDIA,, ,, nchi ambayo MBWA ana THAMANI kuliko mtu mweusi.NISHALALA saba MAKABURINI PAKISTAN.. . Na nimeishi,, nikapambana nikasafiri kwenda TURKY.. UKAWA NDY mwanzo wa safari zangu... Kwhyo tunapopinga haimaanishi ni wivu au chuki,, tunataka msioelewa kama nyie mpate faida,, msidanganywe.. Na MABAHARIA WA NCHI KAVU
ASANTE
 
Aisee jinsi unavyombembeleza Le Mutuz! Yaani nafikiri hata aki............. anyway acha nisiendeleee.
By the way, ndugu yangu W. J. Malecela hebu msikilize huyu mdada anakubembeleza sana um-unblock Instagram, anaitwa Shunie , nenda kwenye Pm yake muwasiliane bhana. Le Mutuz Mobimba. Nye, nye, nye.
Atamfungulia tu msijali kula yake inategemea sana idadi ya followers
 
Mwanaume anaejitambua hawezi kuishi kwa kivuli cha mzazi wake..huwezi katika umri huo ukawa bado pussy kias hicho kwamba kila hoja my dad ooh alifanya hivi mara vile..mbona bado mjinga sana ww..unajiita vipi mwanaume mwenue mafanikio wakati ukienda kwa watu cha kwanza wanachotambulishwa ni mtoto wa fulan..yaani bado unaishi kwa kivuli chake..stupid kabisa.

Na nikuombe tu unieleweshe AKILI KUBWA ni ipi?? Kwamba katika umri ambao retirement ndio unamiliki an online t.v with unexperienced and cheap workers sijui saba.

Akili kubwa ni kwamba you are almost 60+ na bado unaishi kwenye apartment ya kupanga kwamba huna sehemu unayoweza sema hii ni nyumba yangu kwa maana ya ujenzi na umiliki

Akili kubwa..ni katika miaka yako 60+ huna kitu kinachoitwa familia..yaani sio ya kwako kwa maana ya watoto wako tu lakini ata ndugu zako wamekutenga??

Akili kubwa katika miaka yako ya 60+, PICHA ZA UCHI zikionyesha maumbile ya ukinyago uliyonayo zinasambaa mitandaoni..

Akili kubwa uliyonayo wewe ni ipi..kwamba katika miaka ambayo mtu anatakiwa kuwa relaxed na kuenjoy matunda ya ujana wake wewe ndio tako liko barabarani na mitandaon kwamba unatafuta maisha.

Akili kubwa uliyonayo wewe ni ipi..?? Kwamba katika miaka ya 60+ uliyonayo unajibizana na wanawake mitandaon mpaka matusi ya nguoni??

hahahah emu nieleweshe akili kibwa uliyonayo wewe ni ipi maana the way i see it naona upuuzi mtupu wa mtu aliyekurupukia maisha uzeeni na sasa anaforce maisha ambayo alipaswa kuyaishi akiwa kwenye 30's.
28279059_893441800838219_6441381443988669051_n.jpg

1. Historia ya maisha yangu inamuhusissha baba yangu mzazi aliyenileta duniani, ningekuwa nina baba baba nisingeenda Majuu kupigana mwenyewe, pole sana inaelekea historia ya maisha yako baba yako hahusiki nayo ni wewe tu mimi Baba yangu ndiye hasa sababu ya kuwepo kwangu hapa Duniani so historia yangu unamuhusisha na ningekua nina njaa ya kuitwa jina lake nisingekua 'LE MUTUZ MOBIMBA" AU LE MUTUZ BOMAYEEEE hahahahaha

2. Nina Watoto 2 ndio maana sijatafuta mtoto tena, ndugu zangu hawajanitenga nini mimi niliamua kujitenga nao kuepusha kuwekeana sumu, ninachofanya ni nina kampuni ya Social Media ambayo inanifanya nijadili ishus na watu wote wa Social Media wawe Wanawake au Wanaume it does not matter.

3. Katika umri nilionao nina kampuni, nina ofisi Posta, nina Apartment Posta, nina nyumba Kinyerezi, na nina Plot nataka kuanza kujenga Mbweni. Ninajiajiri kila mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika Wiki Mbili, niambie kwa mawazo yako ya maendeleo sana ulitaka nifanye nini? hahahahahaha

4. Akili kubwa ni kama sasa tunabishana mimi pesa inaingia wewe unapoteza bando bure na wote tupo humu humu kwenye Social Media ndio maana ya Akili Kubwaz, mimi nalipiwa Bando na my Sponsors kuanzia Ofisini mpaka kwenye simu pamoja na kunipa simu mpya kila mwaka ndio maana ya AKILI KUBWA AMBAYO huna.

Yaani sina hata la kujifunza kwenye ujinga unaoandika, ndio maana wala siku follow ila tizama wewe unavyohangaika, huna life mkuu wenye maisha huwa hawana muda wa kuhangaika na Akili Kubwazz na ukitaka ajira ninaweza kukupatia hapa Le Mutuz Online TV!

le Mutuz
 
Mwenzio hajapandia meli Tz,kwa hiyo hawezi kuwa na hizo babumash za Sumatra ambazo vinapatikana bila msuli
Kajipange urudi tena kwenye mashindano ya kumdiss mwenzako as if ndo kitu kitakachokupa credit ktk maisha uliyonayo sasa
NDY Hapo mnapodanganywa,,, kwani aliyekwambiya ukisoma bongo unapanda meli za bongo ni nani? Mabaharia 90 % wamesoma bongo au south,,,,,, huyo MAKAPTULA ataendelea kuwadanganya... Pasi na kujuwa ukweli
 
Back
Top Bottom