1. Historia ya maisha yangu inamuhusissha baba yangu mzazi aliyenileta duniani, ningekuwa nina baba baba nisingeenda Majuu kupigana mwenyewe, pole sana inaelekea historia ya maisha yako baba yako hahusiki nayo ni wewe tu mimi Baba yangu ndiye hasa sababu ya kuwepo kwangu hapa Duniani so historia yangu unamuhusisha na ningekua nina njaa ya kuitwa jina lake nisingekua 'LE MUTUZ MOBIMBA" AU LE MUTUZ BOMAYEEEE hahahahaha
2. Nina Watoto 2 ndio maana sijatafuta mtoto tena, ndugu zangu hawajanitenga nini mimi niliamua kujitenga nao kuepusha kuwekeana sumu, ninachofanya ni nina kampuni ya Social Media ambayo inanifanya nijadili ishus na watu wote wa Social Media wawe Wanawake au Wanaume it does not matter.
3. Katika umri nilionao nina kampuni, nina ofisi Posta, nina Apartment Posta, nina nyumba Kinyerezi, na nina Plot nataka kuanza kujenga Mbweni. Ninajiajiri kila mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika Wiki Mbili, niambie kwa mawazo yako ya maendeleo sana ulitaka nifanye nini? hahahahahaha
4. Akili kubwa ni kama sasa tunabishana mimi pesa inaingia wewe unapoteza bando bure na wote tupo humu humu kwenye Social Media ndio maana ya Akili Kubwaz, mimi nalipiwa Bando na my Sponsors kuanzia Ofisini mpaka kwenye simu pamoja na kunipa simu mpya kila mwaka ndio maana ya AKILI KUBWA AMBAYO huna.
Yaani sina hata la kujifunza kwenye ujinga unaoandika, ndio maana wala siku follow ila tizama wewe unavyohangaika, huna life mkuu wenye maisha huwa hawana muda wa kuhangaika na Akili Kubwazz na ukitaka ajira ninaweza kukupatia hapa Le Mutuz Online TV!
le Mutuz