Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)


- Umekaribia kidogo kwenye ukweli, ila kwa kifupi ninaishi maisha yale yale niliyoishi USA unajua nikiwa mdogo niliwahi kuangalia movie ya kwanza ya Rambo, mle ndani kuna Jamaa aliyekua State Police anamsaka Rambo kila alipoambiwa hamuwezi Rambo hakukubali, ndiye my Icon wa maisha yangu

- Na pia USA kuna Mtangazaji maarufu sana anaitwa Rush Limbaugh ndiye shujaa wangu sana huwa ninamuiga sana maisha yake.

le Mutuz
 
Kuna rafiki yangu mmoja anaitwa nuru ni mdada wa mjini nilikua nakuonaga nae sana miaka flani hivii tukimuuliza lemutuz ni mtu wako anakataa mwisho wa siku akasema nimeachana na lemutuz eti hasi...... acha niishie hapa tu
Nuru? Kasoma tax IFM ?
 
Haaaaa haaaahaaaa we mzee ni nomaaaz....

Kweli mambo ni[emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Kama ni kweli uyasemayo, hakuna shida yoyote, enjoy ur life ma nigga

- Nitakua kichaa kumsingizia marehemu mama yangu among watu wote Duniani, nashukuru kwamba after all your negativity umekubali ukweli kwamba uliyoambiwa na Shetani kumbe sio kweli, thanks ni watu wachache sana wanaoweza kukubali.

le Mutuz
 
Achana na maneno ya Martin me sijayasikia hayo aliniambia Nuru mwenyewe alisema kisa cha kuachana we na yeye ni hiyo kitu
 
HAHAAAAAAA DAAHH
 




Li bangaloo la Kinyerezi hilo
 
aiseee kumbe nililenga mwezi ..na nikatua ktika nyota...so nilichokiongea kinauhalisia Fulani Hivi dhidi yko ..haya bhana enjoy ur life style
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…