Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

MKUU wewe bado hujamuelewa sana huyu ...jaribu kufuatilia maisha ya ma celeb wengi wanaotamba bongo wengi wanavuma kwaajili ya uchafu wa tabia zao ..nahii nikwasbabu wanazungukwa na Jamii ya vijana ambao wwngi wao ni mazwazwa akili yao huwa inafnya mapokeo ya vitu vyakijinga jinga mnooo ...nandio hao maceleb hupata nafasi ya kujitangaza na kujulikana ..so huyu Jamaa yko nae ameuona huo udhaifu na ndio maana anautumia kwaajili yakuweza kufukia malengo yake aliyojiwekea...kama utakuwa umepitia baadhi ya comment zake kuna mahali anasema hii ni biashara yangu ya mtandaoni ..wewe unanidiscus mimi naendelea kuingiza hela..
so hata ujaribu kumshauri vipi ..hawezi kukuelewa cuz ameamua kuishi maisha hayo iliajipatie fame ..nahapa ndio tz tulipofikia

- Umekaribia kidogo kwenye ukweli, ila kwa kifupi ninaishi maisha yale yale niliyoishi USA unajua nikiwa mdogo niliwahi kuangalia movie ya kwanza ya Rambo, mle ndani kuna Jamaa aliyekua State Police anamsaka Rambo kila alipoambiwa hamuwezi Rambo hakukubali, ndiye my Icon wa maisha yangu

- Na pia USA kuna Mtangazaji maarufu sana anaitwa Rush Limbaugh ndiye shujaa wangu sana huwa ninamuiga sana maisha yake.

le Mutuz
 
Kuna rafiki yangu mmoja anaitwa nuru ni mdada wa mjini nilikua nakuonaga nae sana miaka flani hivii tukimuuliza lemutuz ni mtu wako anakataa mwisho wa siku akasema nimeachana na lemutuz eti hasi...... acha niishie hapa tu
Nuru? Kasoma tax IFM ?
 
- Nuru alikua ni mmoja wa mabebezz wangu wa kwanza niliporudi bongo, nilipokutana naye alikua ndio anajaribu kuachana na mtu wake aliyekua Meneja wa Twanga, yule Bwana alipogundua kua nipo naye akaanza kunitangazia hayo maneno unayoyasema, ila ingekua kweli my ex wife asingeniacha kwa Mange.

- Nuru nimekutana naye juzi kwenye Ngwasuma ananipenda mpaka kesho, unajua ukijua mapenzi kama mabebezz wanakulilia sana ukiwaacha muulize kama anaweza kunikataa leo nikimtaka?

le Mutuz
Haaaaa haaaahaaaa we mzee ni nomaaaz....

Kweli mambo ni[emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Kama ni kweli uyasemayo, hakuna shida yoyote, enjoy ur life ma nigga

- Nitakua kichaa kumsingizia marehemu mama yangu among watu wote Duniani, nashukuru kwamba after all your negativity umekubali ukweli kwamba uliyoambiwa na Shetani kumbe sio kweli, thanks ni watu wachache sana wanaoweza kukubali.

le Mutuz
 
- Nuru alikua ni mmoja wa mabebezz wangu wa kwanza niliporudi bongo, nilipokutana naye alikua ndio anajaribu kuachana na mtu wake aliyekua Meneja wa Twanga, yule Bwana alipogundua kua nipo naye akaanza kunitangazia hayo maneno unayoyasema, ila ingekua kweli my ex wife asingeniacha kwa Mange.

- Nuru nimekutana naye juzi kwenye Ngwasuma ananipenda mpaka kesho, unajua ukijua mapenzi kama mabebezz wanakulilia sana ukiwaacha muulize kama anaweza kunikataa leo nikimtaka?

le Mutuz
Achana na maneno ya Martin me sijayasikia hayo aliniambia Nuru mwenyewe alisema kisa cha kuachana we na yeye ni hiyo kitu
 
- Nuru alikua ni mmoja wa mabebezz wangu wa kwanza niliporudi bongo, nilipokutana naye alikua ndio anajaribu kuachana na mtu wake aliyekua Meneja wa Twanga, yule Bwana alipogundua kua nipo naye akaanza kunitangazia hayo maneno unayoyasema, ila ingekua kweli my ex wife asingeniacha kwa Mange.

- Nuru nimekutana naye juzi kwenye Ngwasuma ananipenda mpaka kesho, unajua ukijua mapenzi kama mabebezz wanakulilia sana ukiwaacha muulize kama anaweza kunikataa leo nikimtaka?

le Mutuz
HAHAAAAAAA DAAHH
 
Unahisi ni kwanini aligoma kuishi kwenye bangaloo lako Kinyerezi akaona ni afadhali akaishi kwenye kibanda chakavu "mbavu za mbwa" huko Tunduma?? Hako kanyumba wallah huwezi kuamini kanakaliwa na mke wa aliyekuwa waziri mkuu wa nchi yetu ambaye bado anapokea pensheni za mamilioni...

Hako kanyumba hata Rex... yani dogi langu pale home huwezi kumlaza kule akakubali.
318e38f6acd69f1d908f5d18e853e26c.jpg


74b5352c938a5e10a7f7c06acfd26f27.jpg


Li bangaloo la Kinyerezi hilo
 
- Umekaribia kidogo kwenye ukweli, ila kwa kifupi ninaishi maisha yale yale niliyoishi USA unajua nikiwa mdogo niliwahi kuangalia movie ya kwanza ya Rambo, mle ndani kuna Jamaa aliyekua State Police anamsaka Rambo kila alipoambiwa hamuwezi Rambo hakukubali, ndiye my Icon wa maisha yangu

- Na pia USA kuna Mtangazaji maarufu sana anaitwa Rush Limbaugh ndiye shujaa wangu sana huwa ninamuiga sana maisha yake.

le Mutuz
aiseee kumbe nililenga mwezi ..na nikatua ktika nyota...so nilichokiongea kinauhalisia Fulani Hivi dhidi yko ..haya bhana enjoy ur life style
 
Back
Top Bottom