William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
MKUU wewe bado hujamuelewa sana huyu ...jaribu kufuatilia maisha ya ma celeb wengi wanaotamba bongo wengi wanavuma kwaajili ya uchafu wa tabia zao ..nahii nikwasbabu wanazungukwa na Jamii ya vijana ambao wwngi wao ni mazwazwa akili yao huwa inafnya mapokeo ya vitu vyakijinga jinga mnooo ...nandio hao maceleb hupata nafasi ya kujitangaza na kujulikana ..so huyu Jamaa yko nae ameuona huo udhaifu na ndio maana anautumia kwaajili yakuweza kufukia malengo yake aliyojiwekea...kama utakuwa umepitia baadhi ya comment zake kuna mahali anasema hii ni biashara yangu ya mtandaoni ..wewe unanidiscus mimi naendelea kuingiza hela..
so hata ujaribu kumshauri vipi ..hawezi kukuelewa cuz ameamua kuishi maisha hayo iliajipatie fame ..nahapa ndio tz tulipofikia
- Umekaribia kidogo kwenye ukweli, ila kwa kifupi ninaishi maisha yale yale niliyoishi USA unajua nikiwa mdogo niliwahi kuangalia movie ya kwanza ya Rambo, mle ndani kuna Jamaa aliyekua State Police anamsaka Rambo kila alipoambiwa hamuwezi Rambo hakukubali, ndiye my Icon wa maisha yangu
- Na pia USA kuna Mtangazaji maarufu sana anaitwa Rush Limbaugh ndiye shujaa wangu sana huwa ninamuiga sana maisha yake.
le Mutuz