balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Huyu huyu mwenye u kosefu wa self esteem.Mtu mnene gani sasa mkuu ambaye ni mgonjwa
Nahisi alikuwa anatuonea aibu rafiki zake kutuambia kama kweli lemutuz kamkula ila tulikua tunambishia mbona lemutuz hana hiyo kashfa kama ingekuwa kweli tungeshasikiaSawa, ila kwa kutodi....sha hiyo ni uwongo!
Mademu kibao amewala huyu, uhakika
JomoniiiHuyu huyu mwenye u kosefu wa self esteem.
Hana matatizo na wewe Wala aliyezaa naye,ulichonishangaza ni kudai humjui.Hata huyo dada yako ni kujidai humjui dada yako marehemu,nduguye DJ Rankeem- Duh! well ana tatizo na mimi au aliyezaa naye? maana mimi nahusika vipi na maisha yake?
le Mutuz
Siku hizi huyo mama anakaa Mburahati,wakati Fulani akikaa Mkuranga.Wapi huko mkuu?
Hadindishi tena,hahahaaaaAchana na maneno ya Martin me sijayasikia hayo aliniambia Nuru mwenyewe alisema kisa cha kuachana we na yeye ni hiyo kitu
Tika boye na makambo- Wewe ni mgeni wa WaCongo wao maneno yote ya Kifaransa wanayo kwa kikwao AIDS ni SIDA kwa Kilingala na Sida vile vile Mwananchi anaitwa kwa kifaransa Cintoyen kwa Kilingala wanaita Cintwayeen, ingawa kwa Kilingala Mwananchi ni Kintonzengu, hahahaha nimekaa Antwerpen na Brussels, nilikua nashinda Matonge nakijua Kifaransa na Kilingala nje ndani.
- Imagine Story nzima Parts. 31 wewe unalilia neno moja tu la Kifaransa hahahaha lazima una ishu kubwa ila unajificha nyuma ya Cintoyen sema nikusaidie hapa hahahahaha
le Mutuz Mobimba
Nc nmepata somo fulani hapa asante sana kwa maneno mazuri- Binafsi sijawahi kuusema Umri wangu isipokuwa ukisoma my story utaona matatizo niliyoyapata kwenda Majuu kwa sababu ya Umri mdogo, na the story behind it ni kwamba baada ya kuachana na my ex Wife aliamua kuanza kunichafua kwenye mitandao na hasa alipojaribu kurudiana nikakataa. Akaanza kutangaza umri wangu wa uongo kwamba nina Miaka 55, baadaye ikawa 56, then 58 mwisho akasema miaka 60, alipoona haina impact yoyote ya mimi kukosa Wasichana hapa Bongo akaamua kuungana na Mange kunichafua, akampa copy ya my Passport ikarushwa Dunia nzima bado haikuwa na Impact ndio mpaka leo kila mtu asiyenipenda ana struggle na umri wangu ambao binafsi nimeamua kutoutaja ili kumuonyesha Shetani anayewaongoza wanaonishambulia kuwa hana nguvu na hajui what is my wekaness.
- Ninasema hivi mimi binadam mnyonge kama wengine wote na sio Mkamilifu, ila kwa sababu ninamjua Mungu for myself najua binadam alituumba binadam kwa mfano wake, na kwamba Mungu alimnyima Shetani kujua siri ya Weakness zetu binadam, so Shetani anapokushambulia anachofanya ni kubahatisha wapi unyonge wako upo kusudi akumalize. Binadam wanapokuchukia wanaongozwa na Shetani ndio maana kwenye my Story nilisema mpaka leo bado ninapigana na Shetani yule yule niliyeanza kupigana naye toka nikiwa mdogo isipokua siku hizi kwa kujua kuwa nina akili nyingi sana ananirushia makombora mazito sana, nilikataa toka nikiwa mtoto kumuonyesha Shetani my Weakness na mpaka leo sijakubali kumpa hiyo nafasi ya kumuonyesha kua amenipata, ndio watu wengu mnahangaika sana na mimi ni kwa sababu mnahangaishwa na Shetani ambaye anadhani anaweza kunivuruga kwa kutumia wajinga wengi kunishambulia.
- Imagine my ex Wife anayo copy za Passport yangu lakini mpaka leo na yeye anahangaika kusimamia umri wangu wewe huoni kua ni maajabu ya Dunia?
- Now majuzi Shetani kabahatisha sana kuchukua kipande cha Video kwa wizi akadhani sasa kanipata, hahahahaha matokeo ni kagundua kua wala hata sijatingishika so anahangaika maana alishawaaminisa watu wake wajinga kwamba kwa hii kivideo atanimaliza hahahahahaha, na yote hii nini ni urithi wa Baba yetu mzazi ambaye yupo hai inasikitisha sana,
- Ninakumbuka nikiwa mdogo ndugu yangu wa kiume Marehemu Senyagwa alipofariki Dunia (Mungu Amuweke Pema Peponi) vichwa vya habari vya Magazeti vilisema "MTOTO WA KWANZA NA PEKEE WA KIUME WA WAZIRI MALECELA AFARIKI DUNIA" ilinishangaza sana as of WHY wameandika vile na huku wanajua nipo na wanjua kua kuna mwingine marehemu Ippy Malecela na yeye ni mtoto wa Malecela? Nani aliyewatuma kuandika vile? Ndio maana ninasema huyo ni Shetani niliyanza naye siku nyingi sana kupigana naye, nia na madhumuni yamekuwa ni kuhakikisha Dunia inaamini mimi sipo na kwa bahati mbaya sana hata my ex Wife naye akatumbukia huo mtego, leo my ex hataki niwaone watoto wangu lakini yupo radhi kuwapelekea kwa maadui zangu za jadi ..hahahahahaha....lakini sijawahi kutingishika wala kubabaika mwendo wangu wa maisha ni ule ule,
- So now najua Shetani anajipanga upya baada ya kuona kivideo hakina effect najua atakuja na kituko kingine cha ajabu maana ni kazi yake kuwaaminisha wale wanaomuamini kua ana nguvu, ambazo ninajua kwa kumjua Mungu hana ndio mimi nipo mpaka leo. Suala la umri analijaribu sana kulitumia Shetani lakini anashindwa kwa sababu sijampa nafasi hahahahahahaha!
I hope nimewasaidia wengi hapa leo kwa haya maneno machache lakini mazito sana ninajua hilo!
le Mutuz Mobimba!
Maneno ya aliyekuwa mbebez wakeHadindishi tena,hahahaaaa
Ana majanga yake, lakini kadudu kake anajua kukatumia haaa haaaNahisi alikuwa anatuonea aibu rafiki zake kutuambia kama kweli lemutuz kamkula ila tulikua tunambishia mbona lemutuz hana hiyo kashfa kama ingekuwa kweli tungeshasikia
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Ila all in all baada ya kusoma masimulizi yote ya Le Mutuz Mobimba Nye nye nye ukiacha mapungufu machache nimegunduwa kwamba Mzee Malecela is very weak Man na ni mtu ambaye hakupaswa kuaminiwa hata kupewa ubunge achilia mbali uwaziri mkuu.
Mateso yote ya kifamilia aliyopitia Willy mchawi ni baba yake mzazi mzee Malecela.
Angalieni mfano hai kwa Jakaya Kikwete jinsi alivyoweza kumpa back up kubwa Ridhiwani na siyo mtoto wa Salma Kikwete.
Kitu kikubwa ambacho kimaadili Le Mutuz hawezi kukisema ni kwamba baba yake ni mtu wa kutawaliwa na wanawake.
Kama huyo mzee Malecela angetoka kwenye kabila langu hao kina Dr Mwele watake wasitake wangempa heshima yake Le Mutuz kama kaka mkubwa.
Nahitimisha kwa kusema wanaume msiwape sana vipaumbele wanawake wanaweza hata kukutenga na wazazi wako wakishakushika, na kwa story hii mzee Malecela ni mtu wa hovyo kabisa hapa duniani.
Wazee wasiopenda longolongo haya mambo ya urithi huwa wanagawa hata kabla hawajafa kila mtu anadhibiti chake.
Ujinga huu wa Mzee Malecela pia ameufanya marehemu Samuel Sitta, ana mtoto mkubwa wa kiume siyo wa Magreth Sitta, kosa la mzee hakugawa mali akiwa hai sasa hivi kafa kawaacha wanarogana tu shubamiti.
Hii mizee mingine ni ya hovyo sana.
Achana na maneno ya Martin me sijayasikia hayo aliniambia Nuru mwenyewe alisema kisa cha kuachana we na yeye ni hiyo kitu
Yaan wit walikua bene bene tukienda sehemu lazima tumuone nuru na mbebez wake mwisho wa siku tupo na nuru le mbebez akaja kwa bahati mbaya tu wakasalimiana juu juu tu ndio kumuuliza vipiii kwani mmeachana ooh nimeachana nae hadi..... tukaguna wote tukamwambia hiyo kashfa hatujawahi sikia kwa lemutuzAna majanga yake, lakini kadudu kake anajua kukatumia haaa haaa
Sasa lemutuz naanzaje kumsingizia kama alisema hajatembea na wewe- Hapana unamsingizia Nuru hawezi kusema hivyo maana alikua anagombana na ndugu zake kwa ajili yangu hakua anajua kua simfanyi kitu? Unajua nilipoanza kumdate yeye nilikua nimemuachaa nani? ambaye waligombana sana muulize vizuri please hahahahahahaha!
le Mutuz
Li bangaloo la Kinyerezi hilo
Yaan wit walikua bene bene tukienda sehemu lazima tumuone nuru na mbebez wake mwisho wa siku tupo na nuru le mbebez akaja kwa bahati mbaya tu wakasalimiana juu juu tu ndio kumuuliza vipiii kwani mmeachana ooh nimeachana nae hadi..... tukaguna wote tukamwambia hiyo kashfa hatujawahi sikia kwa lemutuz
Achana na maneno ya Martin me sijayasikia hayo aliniambia Nuru mwenyewe alisema kisa cha kuachana we na yeye ni hiyo kitu
π±π±π±- Kwanza wapo watu wanaishi humo na kama angekubali kuhamia ningeitengeneza alipokataa nikaicha maana sina shida nayo, infact mpaka leo naitafutia mnunuzi maana siiitaki ipo karibu sana na Familia ya my ex ndio maana nimeicaha kama ilivyo.
le Mutuz
Hana matatizo na wewe Wala aliyezaa naye,ulichonishangaza ni kudai humjui.Hata huyo dada yako ni kujidai humjui dada yako marehemu,nduguye DJ Rankeem
π±π±π±