Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- Nafikiri umenisaidia sana kuwa kuishi vizuri ni definition ya kila mtu, ila the ishu ni wangapi Tanzania wanaweza ku afford kuishi kama ninavyoishi kwa sababu watuwangu wengi nilowaacha Majuu wanakubali kua nina maisha mazuri kuliko nilipokua kule.

- So far sielewi point yako ni nini hasa maana sijui kama nimewahi kukuomba pesa au anything in my life, unajaribu kulazimisha kunijua kwa nguvu wakati wala haihusu hapa ni historia ya Maisha yangu nikiwa Marekani, vipi uliishi Marekani? Kujiita Akili Kubwa ni uamuzi wangu kwa kuangalia nilikotoka na maisha ninayoishi sasa na ninlicho accomplish,

- Maisha mazuri kwangu ni Kulala vizuri, Kula vizuri, Stable Source of Income, na pesa mfukoni, Mabebezzz ni extra thing cause sio Wanaume wote wanayo access ya Wabebezz wazuri kama mimi, mengine utajaza mwenyewe ila nakushangaa eti unapigania nini hasa?

le Mutuz
You lemutuz a big elephant kwa nn unahangaika na sisimizi bullshit him
 
Ok hahaha huyu ni my ex mwenyewe saafi saana fanially umekuja hahahaha nilijua huwezi kukosa, ok

1. Kwanza sikuenda kuwaona Pugu, nilienda kuwaona Ukonga/Sitakishari Wewe ukawawahi kua wasinisalimie aliyekuwepo ni dada yako Iku tu, nilikua nimefuatana na Shemeji yako Captain wa Ndege, nilimuambia mapema kilichonileta ni ushahidi tu maana nisingekuja mngenilaumu mpaka kufa kua siwajali watoto. Ndio maana nilikuja na tiketi ya ndege maana nilijua nikiondoka mtakaa kikao cha familia mtanitafuta tukae kikao cha kuhusu watoto. Nilipotoka huko Sitakishari nikapanda ndege Mbeya kwenda kujificha mpaka uondoke, mkaanza kunitafuta na familia yako nikasema nipo Mbeya sirudi Mama yangu anaumwa au umesahau nikamwambia Mama yako mzazi kua sina mpango wa kukaa kikao kujadili watoto wangu, nataka muwaruhusu waje kwangu au bakini nao ila sirudi nilikua nasibiri uondoke kwanza nikarudi na ndege ya usiku baada ya wewe kuondoka na Emirates, hahahahaha

2. Baada ya kuwakataza watoto wasinisalimie wewe ndugu zako mkajipanga getini muone kama nitalia hahahaha nilikua kwenye gari na shemeji yako Captain nilipowaona nikaanza kucheka nakumbuka mlivyopigwa na mshangao kuniona nacheka hahahahaha

3. Siku moja ukawatuma watoto kwa Baba yangu akaniita nikamkatalia nikamuambia watoto wangu siwezi kuwaona kwa kuvizia vizia never, mpaka huyo Mwanamke atakapokubali kua ni wangu au wao wenyewe watakapokua ila kuja kuwaona kwako itakua ni kuwazivizia, SITAKI au umesahau?

4. Mama yangu alipofariki sio wewe uliyewatuma wanitafute hahahaha uliwauliza nilichowajibu au umesahau? wewe chezea wengine sio mimi sina muda wa mchezo na ujinga ujinga,Watoto sio wangu sasa video imekuwataje? hahahaha unayejidhalilisha ni wewe maana unatakiwa kukubali kwamba wewe ni jeuri lakini hapa umekutana na ukuta, halafu nikuulize idea ya kuwabadilisha majina yao uliishia nayo wapi? hahahahahahahahahhaa

5. Imagine kutoka kua mke wangu mpaka kuishia kua mke wa pili na kubadili dini kua musilamu kwa mtoto wa Mchungaji, huoni ni laaana fulani hivi hahahahahhaa nilikuambia Mwanaume kama mimi hand hahahahahhutampata utaishia wanaume second hand huzuni sana hahahahaha

le Mutuz Mobimba
Almanusura niulize kuwa hiyo ID sio ngeni kwenye kesi zako humu JF ....naonaga anaingia deep sana kuhusu wewe...

Wille una maadui wengi asee
 
- Ni historia ya "MY INSTAGRAM'S DATING EXPERIENCE" ni muhimu sana vijana wakajua yanayoendelea nyuma ya pazia la Instagram mimi ninayaishi now wewe huyajui so subiri nitakapoandika maana pamoja na mengi yaliyomo ni pamoja na uwezo wa kutembea na Wabebezz wengi kwa wakati mmoja huku wanajuana, sio jambo la kawaida au unasemaje?

- Ni muhimu tukawekana sawa kabla sijaendelea na Chapter zingine za my "AMERICAN EXPERIENCE"

le Mutuz
Am keeping intouch wit yo man in you upcoming stories
 
Am keeping intouch wit yo man in you upcoming stories

- Leo ilikua siku ya mambo ya uchaguzi ndio maana unaona watu wengi wana hasira hapa unadhani nii hii thread hahahahaha wanashindwa tu kusema ni hasira za uchaguzi hahahahahahaha anways guys naomba mnipe nafasi niende kusudi niendelee na "MY AMERICAN EXPERIENCE" au mnasemaje nimejibu maswali yote bila kukwepa mmeridhika guys au bado?

le Mutuz
 
- Hizi picha zingekua na ubaya wowote nisingezi post kwenye Instagram yangu ni mimi mwenye nilizipiga na kuzi post, that is my Mother ilikua ni mara yangu ya kwanza kumuona after almost 31 years, nilipo ondoka Dar nilimuacha ana maisha mazuri sana hapo nikamkuta ameamua kuishi maisha ya Tunduma.

- Seriously sioni hoja ya msingi hapa so far naona ni attacks tu za kitoto amabazo nimezizoea sana mitandaoni, tatizo langu sio kujenga kaburi kwanza ilikua kuheshimu wananchi wa tunduma na pili muda ninao mdogo sana ndio maana hata kujenga sasa hivi nimeamua kutuma watu nitaenda likiisha,

- Naona makelele mengi lakini hoja ya msingi sijaiona, labda ungeweka kaburi la mama yako na nyumba uliyomjengea labda kidogo ningekuelewa au unasemaje?

le Mutuz
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
 
- Ni kweli alizaaa na baba yangu msichana ambaye alijiua baadaye, now naomba kuuliza makosa yangu ni nini hasa mpaka kuhusishwa naye? hahahahahahhaha

le Mutuz
Hakuna kosa lolote ulilofanya, ila ungemuelezea kama Dada yako, and what u learn through her before she died, only this
 
- Leo ilikua siku ya mambo ya uchaguzi ndio maana unaona watu wengi wana hasira hapa unadhani nii hii thread hahahahaha wanashindwa tu kusema ni hasira za uchaguzi hahahahahahaha anways guys naomba mnipe nafasi niende kusudi niendelee na "MY AMERICAN EXPERIENCE" au mnasemaje nimejibu maswali yote bila kukwepa mmeridhika guys au bado?

le Mutuz
Andelea na story bwana achana na hao ndezi wasiojielewa.
 
Aisee hii tabia yako ya kujinadi et unaakili kubwa embu achana nayo.

Sijaona ukubwa wa akili yako.

Tena nilicho kugundua haupo Smart kabisa katika mambo yako
 
- Leo ilikua siku ya mambo ya uchaguzi ndio maana unaona watu wengi wana hasira hapa unadhani nii hii thread hahahahaha wanashindwa tu kusema ni hasira za uchaguzi hahahahahahaha anways guys naomba mnipe nafasi niende kusudi niendelee na "MY AMERICAN EXPERIENCE" au mnasemaje nimejibu maswali yote bila kukwepa mmeridhika guys au bado?

le Mutuz
Leo tunakomaa na wewe hadi asubuhi, hakuna cha kwenda double tree kula batazz.....

Kumbuka na Neema a.k.a Case anashusha ndude badoo
 
Aisee hii tabia yako ya kujinadi et unaakili kubwa embu achana nayo.

Sijaona ukubwa wa akili yako.

Tena nilicho kugundua haupo Smart kabisa katika mambo yako

- hahahaha ni mawazo yako mtu mmoja hayanisumbui wewe una akili zako na mimi nina zangu, ninaziamini zangu ni kubwa sana eti una tatizo?

le Mutuz
 
Back
Top Bottom