msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Mchana wew si ulikua una wasiwasi kama kweli anawagegeda kweli ama anapiga nao tu picha!Kumbe ulishamgegeda nasra? Ahahaaa wewe mkali u know!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchana wew si ulikua una wasiwasi kama kweli anawagegeda kweli ama anapiga nao tu picha!Kumbe ulishamgegeda nasra? Ahahaaa wewe mkali u know!!
Hata sijaamini badoMchana wew si ulikua una wasiwasi kama kweli anawagegeda kweli ama anapiga nao tu picha!
[emoji3]Ooh huyo si unamkumbuka alikuwa le mbebez wa le kokobanga
Nasra si ndie aliyevujisha videoKumbe ulishamgegeda nasra? Ahahaaa wewe mkali u know!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kama nakuona ulivyoauminiMmh sawa mkuu
Sio washakunakuHuyu ni mtu mmoja mbona nyie ni washakunaku sana.. hamjawahi ona camera za kisasa zinavyoweza mbadili mtu.. sasa yeye atuongopee ili iweje?? Kwa mshahara upi akiongopa.?
MmhNi kweli labda wigi litakua limemziba uso kidogo
Eeeh hakufanya fair kabisa jominiNasra si ndie aliyevujisha video
Dah kweli wanawake wana huruma![]()
- Ni Camera tu ndugu yangu lakini mtoto amesimama si unamuona? hahahahaha hicho kimama kinalia lia sana ila maisha yanasonga mbele hapa hayasimami never!
le Mutuz
Kabisa alimkosea sanaEeeh hakufanya fair kabisa jomini
Well said mkuu!Mkuu Bibilia inasema "ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo", km umemfatilia vzr amekubali kuwa alifeli mission zake na sababu kubwa ni akiri yake kubwa. Me nmemsoma toka mwanzo kuwa alitaka kufanya makubwa bila hata support ya mtu lkn akafeli. mf. ubaharia ambao ndo ilikuwa ndoto yake kubwa ikafail, Maisha ya marekani pia akaamua kusepa baada ya kuona hali ishakua tete. Sasa km anajiona yupo hvyo, wewe pia huna sababu ya kumpinga kwakua na wewe ni mwanadamu km yeye na unaona km anavyoona yeye. Sio wote wanaofeli shule kuwa hawana akiri na sio wote wanaofail maisha kuwa hawana akili, inategemea na sababu. Mfano mtu km dr shika watu wakaanza hadi kumdhihaki, kumsemea maneno ya dharau, waandishi wanamuuliza maswali ya kebehi. Sisi ni masikini hadi wa akiri zetu, hatuna subra, ni watu wakukurupuka. Sisemi km nakubaliana na Lemutuz ya kuwa anaakiri kubwa bali nilikuwa natoa angalizo tu kuwa hapa duniani lolote laweza kukutokea, kunawatu wamesoma hadi ulaya wamerudi wamepagawa na hakuna cha maana walichokifanya na accademic wapo vzr na unajiuliza wamepatwa na nini?
Ndjabu Da Dude ...your level of thinking and perceiving things is very shallow. It is imbecility and utter stupidity to judge people by their looks! Did he chose to have that "noggin" of his? He was born that way, so why are you mocking him? Do you think its funny? C' mon man, man-up and get a life looser!Tonnes of flesh and teeth on display here. Mr Ambassador's gigantic noggin must be the size of a 15 kilo watermelon and is even shaped like one.
Sasa kama X-wake hana hata time na Le Mutuz, mbona wewe unamchafua kwa kutumia picha za x-wake?? Maisha ya Le Mutuz na x-wake yanakuhusu nini wewe? Au wewe ndiye yule "shetwani" Mange Kimambi na IDs kibao humu JF?We nawe acha ufala sio kila mtu ni x wa Lemutuz,huyo Le Kibamiazi anajishtikizia kila dakika na wakati maisha yake yote ya mitandaoni yani like an old public joker,Mimi ningekuwa huyo mke wake unafikiri ningemuexpose kiasi gani na siri zake zote na miaka yote walioishi?Me Kibamiazi aache kujishtukizia na kumchafua X wake ambaye hana hata time naye.
Huyo ni mtu mmoja mkuu, ukitaka kupata uhakika wewe angalia pua, lips na macho. Usiangalie nywele wala rangi ya ngozi, rangi ya ngozi imebadilishwa kwa "photo-shop".Hao ni wawili tofauti wa wa kwanza na wa mwisho mtu mmoja huyo wa kati ni mwingine angalia vizuri
I couldn't agree more mkuu Masanja , you have nailed it. Kudos bro!Mkuu sikutaka kukoment hapa lakini mabandiko yako yamenifanya nicomment.
Lemutuz nimemfaham tangu 2007 nimeingia humu. He is an independent thinker. Hate him like him. He lives his life. Tumeanza naye humu tukiwa Jambo forums. He has evolved but never lost his spirit.
Umeongelea sana swala la mama yake. Umelaumu mpaka kuimagine kwamba kuna nati zimelegea kichwani. Bro. All I can tell you Mimi Le mutuz namuelewa sana. Tena sana. Because I have that experience. Unfortunately wengine sisi siyo Watu Wa mitandaoni. Lakini Kama ningekupa hata robo ya story yangu ungemuelewa mshua.
Mambo ya familia in very complex sana. Hivi kwa nini usijiulize kwa mtu aliyekuwa Ana access ya kwenda UK Kama anavyotwambia Le mutuz afike ile level ya kuishi Tunduma kwenye Yale maisha? Kama picha zinavyoonyesha? Shughulisha ubongo kaka. Iam sure kuna mengi hapa Le mutuz hajayaongea kwa staha ya familia na yeye mwenyewe. Lakini Kwangu Mimi I can bet kwamba there was something wrong within the family. Na jamaa ameongea several times..alikuwa nje anapambana Hana makaratasi? Atumie lugha gani tumuelewe? Nimeishi ughaibuni namuelewa.
Le mutuz is a gentleman. Kama umegundua hajawahi kumlaumu yeyote kwa failure au success ya maisha yake. To me this is the truest level of maturity. Wengi tunapenda kusingizia wengine kwa issue zetu. Ameavoid hicho kitu sana.
Mkuu Mfano mdogo.....(am sorry to write this but nataka atleast upate mwanga)..before I did anything in life.....even before I bought a plot of my own.......I spent more than 100+M kumjengea mzazi wangu nyumba. I mean proper house. Leo hii anaishi kwenye chumba cha kupanga .....kodi hardly 20k. My point is tuliopitia hizi changamoto za kifamilia tunamuelewa sana Lemutuz. Again humu wako wengi na experience mbali mbali. Juzi kati jamaa yangu kafiwa na mama yake Dar. Yeye yuko ughaibuni..alitwambia....nyinyi zikeni tuu. Alikataa kuja. Ofcourse kwa Watu wenye mawazo Kama wewe in rahisi kuanza blame game kwamba jamaa ana matatizo. Hamsaidii mzazi. Nk....In such situation...nitafanyaje? Will simply ignore you. Maana you don't know niliyoyapitia. Besides Nina hakika in wachache sana humu JF or Tz wameitumikia hard earned resources kuwatengenezea mazingira wazazi..I mean Kama kuwajengea nyumba za kisasa. Hata kabla hawajajiandalia maisha! I know kwa sababu Nina wengi Leo hii wanaweza kunilaumu but I know they have done nothing kuwasaidia wazazi wao as I did. Even before I had anything I call my own!
Ushauri wangu Kama bado una wazazi na unaelewana nao mshukuru Mungu sana. Wengi humu tumepambana lakini hao hao wazazi wametutenda than you will ever know.
Again, Le mutuz siyo mkamilifu. Ana mapungufu yake mengi Kama wengi wetu humu. Lakini hili swala la mzazi wake ningeshauri wasio na experience...lipotezeeni. I have been there and have many examples ya Watu ambao hata wazazi hawasalimiani. It pains a lot. Especially Watu Kama nyinyi msiojua hiki wala lile....you simply come here na blames. Familia zina mengi sana mkuu. Ukiona mtu Kama Le mutuz kuamua kuja open na story yake as he did.......jua he has seen it all. Amepitia tanuru la moto ambalo in wachache humu tungeweza.
Peace and respect bro!
Ndjabu Da Dude ...your level of thinking and perceiving things is very shallow. It is imbecility and utter stupidity to judge people by their looks! Did he chose to have that "noggin" of his? He was born that way, so why are you mocking him? Do you think its funny? C' mon man, man-up and get a life looser!