Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Huyu ni mtu mmoja mbona nyie ni washakunaku sana.. hamjawahi ona camera za kisasa zinavyoweza mbadili mtu.. sasa yeye atuongopee ili iweje?? Kwa mshahara upi akiongopa.?
Sio washakunaku
 

PART 35:- "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Nilipofika USA nilikua nimeamua kuachana na Ubongo pamoja na kudate Wabongo nilikataa kata kata my thinking on Wabebez wa Kibongo was shaped nikiwa Bongo kwamba wengi wao Wazuri ninaoweza kuwapenda wanapenda pesa I was a Champion kabla sijaondoka Bongo kwa sababu nilikua na pesa kidogo so sikuwahi kua na tatizo nao kuwapata na wazuri lakini nilikua ninajua wanazimikia pesa ila Majuu ni tofauti I was stunned...

Mbebezz wa Kimarekani kwanza hasumbui ni Black and White ukimchorea mistari anakuambia kama anakuzimia au hapana mapema sana now akikukubali mnaenda Dinner analipa yeye na always anakua na Apartment yake na kazi nzuri hakuombi pesa NEVER labda uamue mwemyewe kumpa na ukimpa anakushangaa za nini? siku ya Birthday yako atahangaika kama ni yake I mean atachoma pesa zake bila kujali Mwanamke wa Kimarekani mapenzi ni mapenzi kweli halafu nilichokua nawazimia sana wakifikia siku zao za Mwezi hawakuambii ni MWIKO kwa Culture yao atakukwepa sana zile siku na mara nyingi hua wanaenda out wanawake watupu wanaita "GIRLS OUT" ni mwiko kukuonyesha hata dalili Mwanaume kua yupo kwenye siku as opposed na wabebezz wetu utasikia nalisikia tumbo hahahaha U know..

HOWEVER nilishajifunza kua Dating American ni fun ila sio kumuoa ukiwaoa wanakua wagumu sana kuelewana nikaingia dilemma lakini nilishaamua sitaoa Mmarekani lazima nioe Mbongo nikaanza kujipa moyo kuna sio Wabongo wote ni Mcharuko wapo waliotulia lakini nitampata wapi cause Wabongo wabebezz wote niliokua nawajua pale New York nilikua nimesha wadharau kua hawafai na nilisha sema wazi in the public wakawa wananichukia sana.siku moja My Sister Mwendwa akanipigia simu tena alihangaika sana mpaka akaipata namba yangu akazidi kunisihi niongee na yule Msichana niliyekua namkataa kata kata ...

Well somehow siku moja nikaamua kumsikiliza na nikakubali kuongea naye akaniomba sana msamaha kwa yaliyopita na kwamba she was ready to be my Wife baada ya kumaliza kuongea naye nikaamua tena kubadili mawazo nikabadilisha namba yangu tena ikapita Miezi kama 3 siku moja nikaamua kumtafuta tena mwenyewe nikampata nikamwambia namtumia tiketi aje New York kwa Wiki moja aone maisha yangu kwanza..

ITAENDELEA
 
Well said mkuu!
 
Dah

Kumbe huyu bro.no kumbe huyu baba ana umri Wa Mzee wangu salute kwako mkuu..

Story tamu na napenda jamaa anajiamini na anaprnda maisha yake
 
Tonnes of flesh and teeth on display here. Mr Ambassador's gigantic noggin must be the size of a 15 kilo watermelon and is even shaped like one.
Ndjabu Da Dude ...your level of thinking and perceiving things is very shallow. It is imbecility and utter stupidity to judge people by their looks! Did he chose to have that "noggin" of his? He was born that way, so why are you mocking him? Do you think its funny? C' mon man, man-up and get a life looser!
 
Sasa kama X-wake hana hata time na Le Mutuz, mbona wewe unamchafua kwa kutumia picha za x-wake?? Maisha ya Le Mutuz na x-wake yanakuhusu nini wewe? Au wewe ndiye yule "shetwani" Mange Kimambi na IDs kibao humu JF?
 
I couldn't agree more mkuu Masanja , you have nailed it. Kudos bro!
 

What judgment? What's the matter with you? Why are you so riled up like that? Fag! Guess who's passing judgment now...the bi.tch that stares back when you look yourself in the mirror.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…