Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Unahisi ni kwanini aligoma kuishi kwenye bangaloo lako Kinyerezi akaona ni afadhali akaishi kwenye kibanda chakavu "mbavu za mbwa" huko Tunduma?? Hako kanyumba wallah huwezi kuamini kanakaliwa na mke wa aliyekuwa waziri mkuu wa nchi yetu ambaye bado anapokea pensheni za mamilioni...

Hako kanyumba hata Rex... yani dogi langu pale home huwezi kumlaza kule akakubali.
aliona masihara nafikiri, amemzaa mtoto kipenzi, akamtelekeza 30 good years, ameteseka moyo hadi amechoka, afu mtu anakuja na mabringbring anasema njoo uishi kinyerezi, yeye alikuwa anahitaji majumba yako au uwepo wako? angelijua utamtelekeza miaka yote iyo ulipokuwa mtoto si angekuflush tokea tumboni tu wewe? dah?
 
Unaitumia vibaya sana haki na uhuru wako wa kuwa mjinga..this crap you are writing ni ujinga ata kukujibu naona kinyaa..

Unazungumza eti nataman Malecela awe baba yangu..emu ona aibu na umsitiri baba yako..maana sion lolote la usifa au uzuri kunifanya niwe matamanio hayo..the way i see it baba yako historia hii itambuka kwa tiltle tu ya UWAZIRI MKUU..lakini we all know ukiachana na na U-PM alikuwa mburula aliyeotea nafas kulingana na mazingira ya uhaba wa wasomi na nia ya Mwl kuweka watu wa karibu ambao angeweza kuwa manipulate na kuwatumia to his advantage na baba yako was a perfect chambo!!

Swali la kaburi la mama yako..ndio sababu nitaendelea kukuita mjinga tu, na siku nyingine hii i.d THE LIST usikurukupe kuijibu kipwagu hivo..hakuna mahali duniani udongo unafanya tabia zinazoendana na theory ya utetezi ulioandika kasome SOIL PROFILE!! Eti ukae mwaka na unusu..puuzi kabisa

Na ni afadhali umekiri kuwa sasa umepata hela ya kujenga kaburi..na kuwa hii ina reflect logically kuwa by time MAMA YAKO ANAFARIKI ukiwa na miaka 50+ hukuwa na pesa ya kujenga!!! hahaha duh what a waste!! Inawezekanaje hii !!!

ishi umri wako mzee sio size ya kiatu yako..idiot!!
Kaka naona hapa umepotea kwa kurefer somo la Geography form 3..... Kwa sisi tulosoma Soil mechanics ndo tunaijua hii kitu..... hapo kuna kitu inaitwa Settlement na consolidation that has nothing to do with soil profile. Hivo wale wananchi wako sahihi kumshauri hvo.

Ukitaka elimu zaidi kuhusu soil behaviour usiache kuniuliza
 
aliona masihara nafikiri, amemzaa mtoto kipenzi, akamtelekeza 30 good years, ameteseka moyo hadi amechoka, afu mtu anakuja na mabringbring anasema njoo uishi kinyerezi, yeye alikuwa anahitaji majumba yako au uwepo wako? angelijua utamtelekeza miaka yote iyo ulipokuwa mtoto si angekuflush tokea tumboni tu wewe? dah?
Astaghafirulilah!!
 
- hahahaha naona unajitekenya na kucheka mwenyewe what is your point so far? hahahahahahahha

le Mutuz
yaani wewe una miaka zaidi ya 50 mamako katelekezwa namna hiyo, unakuja tu kumjengea kaburi halafu unaona kawaida tu na bado unaniambia una akili kubwa, mbona unataka turudi tena kwenye malumbano? wewe wale watoto wako US wakikutelekeza au hivyo unavyokuwa hauwaoni haujisikii vibaya? uje uwaone after 30 years,....
 
Hapo ni Tunduma ujue

- Kabla sijaenda kumuona after Miaka 31 nilikua nimepigiwa kelele sana so nikaamua kwenda kumuona baada ya kupata nafasi kwa mara ya kwanza nikapiga picha mwenyewe na kuzi post yakaanza makelele, ila ninasema ni bora makelele haya kuliko yale ya zamani kabla sijamuona, ila all and all ninamshukuru Mungu sana kwa kunipa nafasi ya kumuona na kumzika, maana kule Majuu nimeacha jamaa kibao ambao hawakupata hiyo nafasi,

- Majuu nilikua ninapigania maisha yangu na nilimuomba sana Mungu anisaidie maana nisingemsaidia anyone kama mimi mwenyewe sikua sawa na ni sheria ya maisha nimekuja kuitumia all my life mimi kwanza mengine baadaye!

le Mutuz
 
- Alisema hawezi kuacha makaburi ya ndugu zake Tunduma, nikaamua kununua nyumba Mbeya mjini akaishi bado akakataa well sio muhimu sana ila nahisi nimekusaidia.

le Mutuz
wewe kama una akili kubwa, unafikiri kwanini alikataa? alipougua na kufariki ulikuwa karibu naye? angekupa wosia wa mwisho pengine hata hizo aibu usingekuwa unazipata. akili yakawaida inaonyesha hakuhitaji majumba wala mipesa, alikuhitaji wewe mtoto wake. naomba niishie hapo nisije kukuumiza moyo.
 
yaani wewe una miaka zaidi ya 50 mamako katelekezwa namna hiyo, unakuja tu kumjengea kaburi halafu unaona kawaida tu na bado unaniambia una akili kubwa, mbona unataka turudi tena kwenye malumbano? wewe wale watoto wako US wakikutelekeza au hivyo unavyokuwa hauwaoni haujisikii vibaya? uje uwaone after 30 years,....

- Nikiwa Majuu nimewaona wenzangu wengi walioshindwa kuja Bongo kuwazika Wazazi wao, nilikua ninamuomba sana Mungu anipe hiyo nafasi ikitokea nipo Duniani, ninamshukuru Mungu alinipa hivyo nafasi. Nisingeweza kumsaidia yoyote kabla sijajisaidia mwenyewe ndio sheria ya maisha yangu mpaka leo.

- Watoto wangu ni watuwazima sasa hawahitaji wazazi tena kufanya maamuzi yao, sikutunzwa na baba yangu lakini ni baba yangu mpaka leo we are kool, so sikutaka kumpa nafasi mwanamke asiyejielewa ya kunimaliza kwa kusingizia watoto that is all na mpaka leo ninaishi maisha yangu na wale ni watoto wangu.

- Mara ya mwisho niliwaona walipokuja Bongo na hata nikiwaona kila siku so what? hahahahaha naona huna hoja naomba niruhusu niendelee na mambo yangu maana mimi hua sipendi kuonekana namkimbia mtu never!

le Mutuz
 
vijana tunayo mengi sana ya kujifunza toka kwa lemutuz, mojawapo ni kuwajali wazazi, mwezi ujao itabidi nitenge likizo ya ghafla nikawaone wazazi nikae nao weee nichote baraka aisee, hii tabia ya kutelekeza wazazi kwa kisingizio kwamba tunatafuta maisha itabidi tuache. wazazi wanaumia moyo, wanatuhitaji kutuona lakini wapi....dah aisee.
 
- Nikiwa Majuu nimewaona wenzangu wengi walioshindwa kuja Bongo kuwazika Wazazi wao, nilikua ninamuomba sana Mungu anipe hiyo nafasi ikitokea nipo Duniani, ninamshukuru Mungu alinipa hivyo nafasi. Nisingeweza kumsaidia yoyote kabla sijajisaidia mwenyewe ndio sheria ya maisha yangu mpaka leo.

- Watoto wangu ni watuwazima sasa hawahitaji wazazi tena kufanya maamuzi yao, sikutunzwa na baba yangu lakini ni baba yangu mpaka leo we are kool, so sikutaka kumpa nafasi mwanamke asiyejielewa ya kunimaliza kwa kusingizia watoto that is all na mpaka leo ninaishi maisha yangu na wale ni watoto wangu.

- Mara ya mwisho niliwaona walipokuja Bongo na hata nikiwaona kila siku so what? hahahahaha naona huna hoja naomba niruhusu niendelee na mambo yangu maana mimi hua sipendi kuonekana namkimbia mtu never!

le Mutuz
well, naona sasa unaongea point. haukuwa kwenye nafasi kumsaidia, period! nakubaliana na wewe. tufunge mjadala, sipendi kujadili hili jambo naona linaniuma kama la kwangu vile!
 
wewe kama una akili kubwa, unafikiri kwanini alikataa? alipougua na kufariki ulikuwa karibu naye? angekupa wosia wa mwisho pengine hata hizo aibu usingekuwa unazipata. akili yakawaida inaonyesha hakuhitaji majumba wala mipesa, alikuhitaji wewe mtoto wake. naomba niishie hapo nisije kukuumiza moyo.

- Inaelekea ulikua unamjua mama yangu kuliko mimi maana aibu hata baba yangu ameipata sana kwenye maisha yake ya siasa ndiko hasa nilikojifunzia kupuuzia ujinga wa maadui maana niliona baba yangu mzazi akishambuliwa na MWalimu lakini alikua akicheka,

- Mama yangu mzazi nikiwa mdogo siku moja aliingia chumbani kwangu kwa bahati mbaya sana akakuta pesa nyingi sana enzi hizo Bongo, alishangaa sana akaniambia maneno yafuatayo "William unapenda maishaa makubwa sana, uatayapata ila yatakugharimu sana" sijasahau mpaka leo maana ninalipia gharama kubwa sana maisha ninayotaka.

- Unaweza kuniumiza moyo labda nikiwa nimekufa sio nikiwa mzima hahahahaha huwezi wameshindwa wengi sana kabla yako!

le Mutuz
 
- Inaelekea ulikua unamjua mama yangu kuliko mimi maana aibu hata baba yangu ameipata sana kwenye maisha yake ya siasa ndiko hasa nilikojifunzia kupuuzia ujinga wa maadui maana niliona baba yangu mzazi akishambuliwa na MWalimu lakini alikua akicheka,

- Mama yangu mzazi nikiwa mdogo siku moja aliingia chumbani kwangu kwa bahati mbaya sana akakuta pesa nyingi sana enzi hizo Bongo, alishangaa sana akaniambia maneno yafuatayo "William unapenda maishaa makubwa sana, uatayapata ila yatakugharimu sana" sijasahau mpaka leo maana ninalipia gharama kubwa sana maisha ninayotaka.

- Unaweza kuniumiza moyo labda nikiwa nimekufa sio nikiwa mzima hahahahaha huwezi wameshindwa wengi sana kabla yako!

le Mutuz
OK bro, tuongee mengine tafadhali. sorry!
 
Back
Top Bottom