Ok hahaha huyu ni my ex mwenyewe saafi saana fanially umekuja hahahaha nilijua huwezi kukosa, ok
1. Kwanza sikuenda kuwaona Pugu, nilienda kuwaona Ukonga/Sitakishari Wewe ukawawahi kua wasinisalimie aliyekuwepo ni dada yako Iku tu, nilikua nimefuatana na Shemeji yako Captain wa Ndege, nilimuambia mapema kilichonileta ni ushahidi tu maana nisingekuja mngenilaumu mpaka kufa kua siwajali watoto. Ndio maana nilikuja na tiketi ya ndege maana nilijua nikiondoka mtakaa kikao cha familia mtanitafuta tukae kikao cha kuhusu watoto. Nilipotoka huko Sitakishari nikapanda ndege Mbeya kwenda kujificha mpaka uondoke, mkaanza kunitafuta na familia yako nikasema nipo Mbeya sirudi Mama yangu anaumwa au umesahau nikamwambia Mama yako mzazi kua sina mpango wa kukaa kikao kujadili watoto wangu, nataka muwaruhusu waje kwangu au bakini nao ila sirudi nilikua nasibiri uondoke kwanza nikarudi na ndege ya usiku baada ya wewe kuondoka na Emirates, hahahahaha
2. Baada ya kuwakataza watoto wasinisalimie wewe ndugu zako mkajipanga getini muone kama nitalia hahahaha nilikua kwenye gari na shemeji yako Captain nilipowaona nikaanza kucheka nakumbuka mlivyopigwa na mshangao kuniona nacheka hahahahaha
3. Siku moja ukawatuma watoto kwa Baba yangu akaniita nikamkatalia nikamuambia watoto wangu siwezi kuwaona kwa kuvizia vizia never, mpaka huyo Mwanamke atakapokubali kua ni wangu au wao wenyewe watakapokua ila kuja kuwaona kwako itakua ni kuwazivizia, SITAKI au umesahau?
4. Mama yangu alipofariki sio wewe uliyewatuma wanitafute hahahaha uliwauliza nilichowajibu au umesahau? wewe chezea wengine sio mimi sina muda wa mchezo na ujinga ujinga,Watoto sio wangu sasa video imekuwataje? hahahaha unayejidhalilisha ni wewe maana unatakiwa kukubali kwamba wewe ni jeuri lakini hapa umekutana na ukuta, halafu nikuulize idea ya kuwabadilisha majina yao uliishia nayo wapi? hahahahahahahahahhaa
5. Imagine kutoka kua mke wangu mpaka kuishia kua mke wa pili na kubadili dini kua musilamu kwa mtoto wa Mchungaji, huoni ni laaana fulani hivi hahahahahhaa nilikuambia Mwanaume kama mimi hand hahahahahhutampata utaishia wanaume second hand huzuni sana hahahahaha
le Mutuz Mobimba