Eti wanakupenda!! Hivi we hapo una element yoyote ya kumfanya msichana mdogo akupende?
- hahahaha ni kweli nina matatizo ndio maana wabebezz wananipenda au? hahahahahahaha
le Mutuz
Acha ukuwadi we mzee!!!!
Eti wanakupenda!! Hivi we hapo una element yoyote ya kumfanya msichana mdogo akupende?
Body zuri; HUNA!
Pesa, HUNA!
Umri; UMEKUTUPA MKONO!!!
Sasa kitakachowafanya mademu wakupende ni kipi?!!
Narudia, wewe ni urithi wa taifa unaopaswa kuwekwa makumbusho ili watu waje kukuona kwa kukulipa kiingilio!!
Taja umri wewe!!!- kwani wewe una miaka mingapi? na inahusika vipi na anything? Unanilipia maisha labda uniulize kwa nini sijilipii mwenyewe au what?
le Mutuz
Taja umri wewe!!!
Miaka above 20 kabla hujaenda majuu!!!
Miaka 30 Uliyokaa majuu
Miaka zaidi ya 5 uliyokaa Tanzania baada ya kurudi majuu!!!!
>>>20+30+5== Zaidi ya miaka 55!!! And am certain in a year or two, unagonga 60!!!!
Malizia lile banda wewe mzee... wanao utawaachia nini?!!
Unaejichoresha ni wewe manake kila mtu anafahamu hao mademu sio wako!! Sasa kama sio kujichoresha tuite nini?
- unajichora bure wanaonijua vizuri wamenyamaza wangeshakuja kuku support hahahahaha kwenye mademu umekosea sana maana ungejua usingegusa kabisa hii line hahahahaha
le Mutuz
hahahah nafwaaaaa, wanakukoma THE KING OF SOCIAL MEDIAS
- kwenye mabebezz jamaa kakosea kabisa maana angejua wala asingegusa huku hahahahahahahaha
le Mutuz
Unaejichoresha ni wewe manake kila mtu anafahamu hao mademu sio wako!! Sasa kama sio kujichoresha tuite nini?
hahahah nafwaaaaa, wanakukoma THE KING OF SOCIAL MEDIAS
Hahahaahahah bway bway bway hapendi kuambiwa ukweli huyu mwili mkubwa shati lake turubai YA vitzLe mutuz ukiacha nywele ziote... una mvi hatari
Ili jibu auwezi kupewa.... Ila jamaa yupo kwenye umri wa kustaafuMkuu una miaka mingapi??
Hahahaahahah bway bway bway hapendi kuambiwa ukweli huyu mwili mkubwa shati lake turubai YA vitz
Ili jibu auwezi kupewa.... Ila jamaa yupo kwenye umri wa kustaafu
Hahahah@chinge mbavuuuu zangu Leo naona umemuamuliaaa... Uhu jamaaa kama kituko flan hivi ndani YA jfEti wanakupenda!! Hivi we hapo una element yoyote ya kumfanya msichana mdogo akupende?
Body zuri; HUNA!
Pesa, HUNA!
Umri; UMEKUTUPA MKONO!!!
Sasa kitakachowafanya mademu wakupende ni kipi?!!
Narudia, wewe ni urithi wa taifa unaopaswa kuwekwa makumbusho ili watu waje kukuona kwa kukulipa kiingilio!!
Taja umri wewe!!!
Miaka above 20 kabla hujaenda majuu!!!
Miaka 30 Uliyokaa majuu
Miaka zaidi ya 5 uliyokaa Tanzania baada ya kurudi majuu!!!!
>>>20+30+5== Zaidi ya miaka 55!!! And am certain in a year or two, unagonga 60!!!!
Malizia lile banda wewe mzee... wanao utawaachia nini?!!
Kwahiyo unapiga picha kwenye mali za watu ndo unaita maandalizi ya kujenga studio!!!! Yaani ni sawa na mtu aende bandarini na kupiga picha mbele ya makontena halafu anatangaza maandalizi ya kusafirisha bidhaa nje ya nchi!!
- matayarisho ya ujenzi wa Studio yangu ya TV online yanaendelea pole sana maana haya ndio ymekuuzi mkuu hahahahaha kazi kazi tu
le Mutuz
Kama kupiga picha na vibinti vidogo sawa na wajukuu zako huoni kwama unajichoresha basi we jamaa unatakiwa kupelekwa makumbusho haraka sana!!!!!- wewe mademu ndio wanasema "kila mtu anafahamu" Mwanaume hutumii maneno ya kike kama hayo jifunze unajichoresha hahahahahahaha
Acha ukuwadi we mzee!!!!
Mkuu una miaka mingapi??
Eti wanakupenda!! Hivi we hapo una element yoyote ya kumfanya msichana mdogo akupende?
Body zuri; HUNA!
Pesa, HUNA!
Umri; UMEKUTUPA MKONO!!!
Sasa kitakachowafanya mademu wakupende ni kipi?!!
Narudia, wewe ni urithi wa taifa unaopaswa kuwekwa makumbusho ili watu waje kukuona kwa kukulipa kiingilio!!
Unaejichoresha ni wewe manake kila mtu anafahamu hao mademu sio wako!! Sasa kama sio kujichoresha tuite nini?
Hahahaahahah bway bway bway hapendi kuambiwa ukweli huyu mwili mkubwa shati lake turubai YA vitz
Ili jibu auwezi kupewa.... Ila jamaa yupo kwenye umri wa kustaafu
Kama angekuwa ni askari wa cheo cha kawaida ingekuwa ameshastaafu manake mwisho ni 55 ambayo huyu jamaa alikuwa anakaribia kuigonga mwaka anaanzisha blog yake!!!Ili jibu auwezi kupewa.... Ila jamaa yupo kwenye umri wa kustaafu