William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mpaka kukuche bado mnaye tu le mbebez mtamuuwa bure
Mods WAMESHAA MCHOKA..Maana wamegundua, ni yeye anaerusha Mawe nyumbani kwa WATU, Wakati anaishi Nyumba ya VIOO..!!
Waache MODS wafurahie SHOW.
Le Mwili Uzembe usijifanye kulala, ndio kwanza saa mbili hii, amka ujibu MASHAMBULIZI...
Ama tupia picha nyingine..
Demu gani atajileta mwenyewe kwako wewe!!! Eti huna shida na mademu...
Nimekuuliza hapa ni nini cha kuwafanya mademu wajigonge kwako, umeshindwa kujibu!!! Vigezo wapendavyo mademu vyooooooote hauna hata kimoja!
Unaacha ku-interact na akina Bi. Chau au angalau na akina Bi Khadija Omary Kopa na Zipompa pompa lakini unajilazimisha ku-interact na akina Tunda, akina Vanessa Mdee... wapi na wapi!!!
Wa Karatu yule dada alimchana live, alimwambia kabisa le kubwa jingaz umeomba tupige pic kistaarabu then unakuja kupost ist na caption za ajabuajabu mwisho wa siku unaniharibia ndoa yangu,jamaa liliomba poo
Le mbururazzz, le mbembezzz, le totozzzz, le jingazzzzz, le mzeeezzzz.
- Matengenezo ya Studio mpya yanaendelea, soon tutaanza majaribio ya kuruka hewani maana tutakuwa pia na Streaming Live, so guys tulieni nitawafahamisha tu na hasa baada ya Safari ya South Korea hahahahahahaha I lov it!!
le Mutuz
kuna lemutuz ana ID nyingine ya @cocochannel
Le mbururazzz, le mbembezzz, le totozzzz, le jingazzzzz, le mzeeezzzz.
Huwezi kuruka hewani bana we huna mabawa.
Jaza ujazwe le mbururazzzzz
Jaza ujazwe le mbururazzzzz
kuna lemutuz ana ID nyingine ya @cocochannel
Nitumie PM le totozzzzz.
Nitumie PM le totozzzzz.
Huku watu wengine wana allergy na utoto wako plus zero brain
Mkuu kumbe umewahi kupata fursa ya kukaa na le Akili kubwaz meza mojaJuzi moshi tumekaa meza moja na wewe, kilewo, nsando, jacob nk. Nikakutazama maongezi yako nikacheka sana hasa kukumbuka ambacho unakiandika huku JF na ulichoenda kukiandika Insta baada ya pale [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu kumbe umewahi kupata fursa ya kukaa na le Akili kubwaz meza moja
Ni tabia za Sungura TopeHalafu ulivyo mpumbavu sidhani kama unafahamu si kila mmoja anapenda ujinga wa kuwaanika mitandaoni kama unavyofanya!!!!