Mr JM
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 266
- 466
Kwani kuna ubaya Mwana kumkiss Baba yake ni upendo wa kawaida![]()
- hahahahahahahahaa nilikuambia kwenye hili la mademu umekosea njia kabisa hahahahahahahahahaa
le Mutuz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna ubaya Mwana kumkiss Baba yake ni upendo wa kawaida![]()
- hahahahahahahahaa nilikuambia kwenye hili la mademu umekosea njia kabisa hahahahahahahahahaa
le Mutuz
Wana Jf wamecheza na wewe kama babu yao, yaani hujakasirika na umetujibu comments zetu zote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]![]()
![]()
![]()
- haya ndio maisha yangu mkuu ninaposafiri nakaa sehemu kama hizi, hahahahahahhaa umri baki nao mimi naendelea na maisha U know hahahahahahahhaa
le Mutuz
Wana Jf wamecheza na wewe kama babu yao, yaani hujakasirika na umetujibu comments zetu zote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inabidi nikubali tu
U r different [emoji1360]
Babu phase 3 ikifika nistue kazi ju ya kaaaziiiii live straight talk hard talk hahahaha dah iyo nchi ina raha sana![]()
- Jamani kazi ya matengenezo inaendelea so far tumemaliza Cooling system na sasa tunaingia Phase Two, kazi kazi ni mategemeo yangu kuanza kuwa hewani, seriously ninamshukuru sana aliyeanzisha hii thread cause tutaendelea kuitumua kujitangaza hapa hapa maana hii thread ni Fursa kubwa sana ya kuwafikia watu wengi sana, Thanks Guys pamoja sana!!
le Mutuz
Babu phase 3 ikifika nistue kazi ju ya kaaaziiiii live straight talk hard talk hahahaha dah iyo nchi ina raha sana
Duniani hakuna kitu kipya vyote vishaafanyika ila vinafanyika tofauti acha wivuUbunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!
Binafsi siyo shabiki wa Lemutuz lkn kwa hili kafanya jambo zuri la kimaendeleo, wanaosema kaiga mjue duniani hakuna kipya vyote vishaafanyika ila vinafanywa kwa ubunifu, ukisema kaiga na wewe kaige kama unafikiri ni rahisi sana kuiga au mlitaka aendelee kujipamba na madem tu
All the best mkuu![]()
- HAHAHAHAHAHA unajua tatizo ni kama haya maneno ya shombo yanabadilisha anything, kwa sababu hapa kazi inaendelea na tunapenda hizi shombo kwa sababu ni changamoto za kupigana kufanikiwa so usijali mkuu pamoja sana kazi ni kaaazi!!
le Mutuz
Usimwite mkuu huyo ni Babu yakoAll the best mkuu
Wachawi wako wengi sana bongo.....!hmna chochote cha maana hapo
Wachawi wako wengi sana bongo.....!

Maskini wee! Nilijua tu mwenye African Swahili TV atatoka na wewe nduki! Si ulikuwa unajifanya wewe ni mwanzilishi, boss kubwa na kuhamia ukahamia. Eti ukajifanya wewe ndio mwajiri mkuu! Umetolewa baru kama paka mwizi!- HAHAHAHAHAHA unajua tatizo ni kama haya maneno ya shombo yanabadilisha anything, kwa sababu hapa kazi inaendelea na tunapenda hizi shombo kwa sababu ni changamoto za kupigana kufanikiwa so usijali mkuu pamoja sana kazi ni kaaazi!!
le Mutuz
Big and all the best![]()
- Matengenezo ya Studio mpya yanaendelea, soon tutaanza majaribio ya kuruka hewani maana tutakuwa pia na Streaming Live, so guys tulieni nitawafahamisha tu na hasa baada ya Safari ya South Korea hahahahahahaha I lov it!!
le Mutuz
Maskini wee! Nilijua tu mwenye African Swahili TV atatoka na wewe nduki! Si ulikuwa unajifanya wewe ni mwanzilishi, boss kubwa na kuhamia ukahamia. Eti ukajifanya wewe ndio mwajiri mkuu! Umetolewa baru kama paka mwizi!
W. J Malecela Chapa kaazi