Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Lembebezzz, lembururazz, letotozzz, lemundingizzz, lumbabuzzz,......

U know..
 
Hapo hamna kitu inshort unajifurahisha na madem wa washkaji

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-8-2_16-44-56.jpeg


- kAMA nilivyojifurahisha na wewe hahahahaha ona my babe in China hapo kila mahali najifurahisha nao hahahahahaha

le Mutuz
 
Na kweli sio mzima mwanamke mwenye akili zake hawezi kuingia kwenye mahusiano na huyu mzee,huyu jamaa akili zake hazipishani na Wolper wote watu wakujionyesha wakiwa kwenye mahusiano

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-8-2_16-48-51.jpeg


- hahahahahaha sema huwezi kuwa na wabebezz kama wewe sio Big Celebrity so relax and enjoy the show hahahahaha

le Mutuz
 
Lembebezzz, lembururazz, letotozzz, lemundingizzz, lumbabuzzz,......

U know..
upload_2017-8-2_16-55-39.jpeg

- hahahahahahah Super Kiss U know from Super Star Aunt Ezekiel, mkuu kazana na wewe uwe Celebrity uishi maisha ya ukweli kama yangu yaani ni raha tupu ona mwenyewe live!!

le Mutuz
 
View attachment 556329

- hahahaha haya huyo ndiye Mdingi wangu kwenye sherehe ya miaka 3 ya kampuni yangu pale Kempisk hahahahaha

le Mutuz
Mzazi hawezi kumtupa mwanae just bcoz mwana is a mack fool. Your father is a respected figure i know him since kuna kontena tatu tu pale ist masaki but that doesn't justify ur foolishness hahaa uknow
 
Mzazi hawezi kumtupa mwanae just bcoz mwana is a mack fool. Your father is a respected figure i know him since kuna kontena tatu tu pale ist masaki but that doesn't justify ur foolishness hahaa uknow
upload_2017-8-2_17-1-20.jpeg


- hii ilikuwa Kigali chief yaani wacha kila mahali wabebezzz tu hahahaha wewe lia lia ila hapa maisha ni wabebe tu hahahaha I love it

le Mutuz
 
View attachment 556324

- kAMA nilivyojifurahisha na wewe hahahahaha ona my babe in China hapo kila mahali najifurahisha nao hahahahahaha

le Mutuz
Asee ww mzee una matatizo lkn sikulaumu yawezekana kuna kalaana kanakutafuna polepole,ngoja nikupe ushauri kidogo

Embu mtafute mzee Malecela umpigie magoti kama kuna nilichokukosea naomba nisamehe then uwatafute wajomba zako upande wa mama sababu mambo unayoyafanya hayaendani na umri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom