Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.
Nachekaga Sana watu kujifanya wa mjini kitambo halafu hao wanaoitwa wa bush wanakula gud life.

Huyu limutuz alikua dreva wa gari la takataka usa ndio mana ni empty head,ukiendesha gari ya taka au ile ya kunyonya kinyesi lazma uwe chizi,msando ni mjanja kuliko huyo mpambe w wanaume w mjini kwa msando le mutuz ni kma houseboy 2
 
Ni watu pekee wenye akili za Le Mutuz Le mburulaz wanaweza kumpinga Msando. Msando yuko sahihi asilimia Mia.

Huwezi kua dreva wa gari y kubeba takataka ukawa n akili timamu huyu jamaa ni le mburulaz balaa anapenda sifa n umaarufu mbuzi.kazi kujisifia kasaidiwa n wanaume wenzie mwisho w cku tutamwona mjamzito
 
Huyu limutuz alikua dreva wa gari la takataka usa ndio mana ni empty head,ukiendesha gari ya taka au ile ya kunyonya kinyesi lazma uwe chizi,msando ni mjanja kuliko huyo mpambe w wanaume w mjini kwa msando le mutuz ni kma houseboy 2

Khaaaa kumbe!!!!!Basi hii shida nyingine
 
Huyu limutuz alikua dreva wa gari la takataka usa ndio mana ni empty head,ukiendesha gari ya taka au ile ya kunyonya kinyesi lazma uwe chizi,msando ni mjanja kuliko huyo mpambe w wanaume w mjini kwa msando le mutuz ni kma houseboy 2

Usisahau pia aliwahi kuwa muosha vyombo ndani ya meli za mizigo.
 
Kumbe umeyajua makopo yenye majina kupitia kwa hao maselebu. Wenyewe ndo wanakuhabarisha siyo eh?



They are not forced to "Share A Coke". They can keep their names to themselves kama wakitaka.

Mbona unajidai hauna akili mkuu? hizo picha wanazopiga za nini basi?
 
Wewe wa Dar salaamu una nini zaidi ya mapovu tu kukutoka mdomoni:bange:
 
I see. But they are Royal Family. Aren't they? Kwa hiyo watalipwa wao binafsi na kutia hayo malipo kwenye mifuko yao au inakuwaje?

Honestly sikulifatilia sana ila lilizua mzozo sababu socialist walikuwa wanasema kama hivyo basi mkwanja wao wanaolipwa na kodi za wananchi ukatwe. Ila walikuja kusema wasilipwe wao ila pesa zitakwenda kwenye charity zao wanazo-support. Mkuu Tz yetu hii unaona habari ni nyingi mno hivyo kufatilia za nje ya nchi kwa kina inakuwa ngumu kidogo.
 
Hivi huyu babu le mutuz a.k.a le kopozzzzzzz ana bifu gani na mjukuu wake anaejiita bikira wa kisukuma
 
Le Mutuz alipiga milioni mbili kimya kimya halafu akawadhulumu wenzake dah

Huyu jamaa shida tupu nilimwambia hajawahi shika 10m yake siku akishika stroke inamhusu,2m unadhulumu kweli huyu jamaa anaishi kwa msaada mzee mzima mdananda
 
Huyu jamaa shida tupu nilimwambia hajawahi shika 10m yake siku akishika stroke inamhusu,2m unadhulumu kweli huyu jamaa anaishi kwa msaada mzee mzima mdananda

milioni 10 anaisikia tu, ile Noah anayoendesha ni ya Juma Pinto alimuachia aitumie baada ya kuona anaomba omba liftisana. Le mutuz akaichora chora mirangi mpaka Juma Pinto ameisusa dah.
 
milioni 10 anaisikia tu, ile Noah anayoendesha ni ya Juma Pinto alimuachia aitumie baada ya kuona anaomba omba liftisana. Le mutuz akaichora chora mirangi mpaka Juma Pinto ameisusa dah.

Duuuuh umri huo jamaa mdananda kweli uzee mbaya,mungu angempa utajiri wa2 wangepata shida sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…