Le Mutuz weka ushahidi wa Radio ya Swahili African Media

Le Mutuz weka ushahidi wa Radio ya Swahili African Media

Status
Not open for further replies.

mchepuko

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2014
Posts
1,192
Reaction score
1,415
Bwana lemutuz umekua ukijitangaza sana kwenye mitandao ya kijamii kua unaanzisha radio yako huko mkoani Morogoro na itaitwa Swahili Radio FM ambayo nafahamu ipo chini ya Swahili African Media Ltd iliyopo Dar.

Naomba utoe uthibitisho wa umiliki wako, yes! Sipendi mtu anaepotosha jamii na kupandia juu ya migongo ya wengine.

Nina ushahidi wa mmiliki wa radio iyo kua Bwana Davis Mosha na team yake na hata process zote za awali ikiwamo transimitter na mambo kama hayo amefanya Bwana Davis kupitia kijana wake Wilbroad.

Tusipotoshane?

Hata hvyo vipi ile TV show ilifiaga wapi?
 
duh! umemkomalia, hujui hana furaha kwa hizi mvua za masika,,,...
 
Hivi watu hamwezi kukaa mkafanya yenu mpaka mhangaike na Le Mutuz.

Hata akionyesha huo ushahidi, bado watu watakuja kusema amepewa tu bila kuchangia chochote.

Au kuna uwezekano watu wanatumwa na mtalaka wake kumchafua jamaa daily
 
Hebu mwacheni, mwenzenu yupo katika kilio na mzee baada ya mama kutumbuliwa jipu. Kuisoma namba kuna shida!
 
Le akili kubwa ni king of all social media, usimchukulie poa...
 
Muache kwanza anaugulia kidonda cha Mama yake kupokwa u-RC kwa kusema uongo
 
Aisee mkuu mbona jamaa keshasemaga kitambo sana hapa jf kuwa umiliki wake ni 0.01% ya capital!
Hahaha...nakumbuka na watu wakampigia hesabu na kubaini kwamba kachangia Tshs 1,300,000/= katika uwekezaji huo.
 
Hivi watu hamwezi kukaa mkafanya yenu mpaka mhangaike na Le Mutuz.

Hata akionyesha huo ushahidi, bado watu watakuja kusema amepewa tu bila kuchangia chochote.

Au kuna uwezekano watu wanatumwa na mtalaka wake kumchafua jamaa daily
Mkuu hizi ndio kick ambazo le mutuz anazipenda.. ha ha ha
 
Muacheni jamani apumzike maana mmemsema sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom