Le mutuz yuko wapi?

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
14,478
Reaction score
18,341

A.k.a
Field marshal,
Sauti ya umeme,
Toka NYC beibi.
Mzee wa Noah
Mzee wa mabebez.
Huyu puto aliwai kuwachangisha matajiri wa dar wote(anavyodai)ili akaoe.
Mpk leo kimyaaa.
Alikua mwenzetu hapa,siku hizi kajikata mazima.
Hana bando au?
Huko aliko mwambieni anahitajika hapa A.S.A.P.
 
Hawa ni watu wanaopata u-celebrity na utajiri kwa kiki. Mwisho wake lazima wanafulia na umaarufu nao kwishnei. Watu hawajui unapokuwa na nafasi ya kuwa maarufu ni muhimu kujiwekezea assets kubwa na za kutosha. Hata Mondi Platnumz naona yuko matatani ni kama umaarufu unaelekea kwisha hata videos zake za hivi karibuni ni za kuchoka mnoo. Na ile ya Wasafi Bet wala haiendi popote. Au Konde boy, hata nyumba yake nzuri binafsi hana. Japo anadai anazo 3 kali. Umaarufu na utajiri unaopatikana PASIPO MSINGI MZURI lazima unaisha tu muda si muda.
 
 
Le mutuz ana stress za maisha alitumia ujana wake vibaya aliingia kwenye trend ya maisha ya ubaharia enzi izo. Hata wanaomuita snich wanakosea sana maana hajui alitendalo na shida ndio zinamfanya anakuwa kama dish limecheza.

Imagine anajisifia kukaa hospital wodi ya VIP anasema wanamuonea wivu na anaowafanyia show off ni wajukuu zake mitandaoni.
 
Mpk leo wanamlia bati,acheze na kina polepole angalau wamkaribishe lumumba awe hata m/kiti wa mtaa kisutu alipo
jamaa ana acess ya kumuona kikwete na mara kadhaa wamepiga picha, angekuwa anetulia angeshakula teuzi
 
Kovid 19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…