babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hawa ni watu wanaopata u-celebrity na utajiri kwa kiki. Mwisho wake lazima wanafulia na umaarufu nao kwishnei. Watu hawajui unapokuwa na nafasi ya kuwa maarufu ni muhimu kujiwekezea assets kubwa na za kutosha. Hata Mondi Platnumz naona yuko matatani ni kama umaarufu unaelekea kwisha hata videos zake za hivi karibuni ni za kuchoka mnoo. Na ile ya Wasafi Bet wala haiendi popote. Au Konde boy, hata nyumba yake nzuri binafsi hana. Japo anadai anazo 3 kali. Umaarufu na utajiri unaopatikana PASIPO MSINGI MZURI lazima unaisha tu muda si muda.View attachment 2046884
A.k.a
Field marshal,
Sauti ya umeme,
Toka NYC beibi.
Mzee wa Noah
Mzee wa mabebez.
Huyu puto aliwai kuwachangisha matajiri wa dar wote(anavyodai)ili akaoe.
Mpk leo kimyaaa.
Alikua mwenzetu hapa,siku hizi kajikata mazima.
Hana bando au?
Huko aliko mwambieni anahitajika hapa A.S.A.P.
Hawa ni watu wanaopata u-celebrity na utajiri kwa kiki. Mwisho wake lazima wanafulia na umaarufu nao kwishnei. Watu hawajui unapokuwa na nafasi ya kuwa maarufu ni muhimu kujiwekezea assets kubwa na za kutosha. Hata Mondi Platnumz naona yuko matatani ni kama umaarufu unaelekea kwisha hata videos zake za hivi karibuni ni za kuchoka mnoo. Na ile ya Wasafi Bet wala haiendi popote. Au Konde boy, hata nyumba yake nzuri binafsi hana. Japo anadai anazo 3 kali. Umaarufu na utajiri unaopatikana PASIPO MSINGI MZURI lazima unaisha tu muda si muda.
Baharia mmoja aliyezamia toka US kuja bongo kukimbia familiaWho the fvck is Lemutuz hapa mjini dasilamu?
Yu know Le mutuz ni mutu fulani yenye pesa inaishi hapo down town man, ina Drive ndinga fulani inaitwa Toyota Noah limited edition ManWho the fvck is Lemutuz hapa mjini dasilamu?
Mpk leo wanamlia bati,acheze na kina polepole angalau wamkaribishe lumumba awe hata m/kiti wa mtaa kisutu alipoYupo anasubiria teuzi akiwa kwake downtwn
jamaa ana acess ya kumuona kikwete na mara kadhaa wamepiga picha, angekuwa anetulia angeshakula teuziMpk leo wanamlia bati,acheze na kina polepole angalau wamkaribishe lumumba awe hata m/kiti wa mtaa kisutu alipo
Sa sijui anakosea wapi,pale downtown kwake kisutu kwenda lumumba haitaji hata nauli.anapiga ng'ondi tu dk 5 kafika.jamaa ana acess ya kumuona kikwete na mara kadhaa wamepiga picha, angekuwa anetulia angeshakula teuzi
Ukiona kitu hakikuhusu jikate pimbi we,stress unazo wewe wenzio tunatafuna biere na kupata mda wa kujoke mambo kama hayaPost zoote zina reflect jinsi gani watoa pist walivyo na stress za maisha na wivu wa kike
Sasa unamuonea wivu le mutuz kwa kipi ashazeeka na amechezea maisha.Post zoote zina reflect jinsi gani watoa pist walivyo na stress za maisha na wivu wa kike
Kovid 19View attachment 2046884
A.k.a
Field marshal,
Sauti ya umeme,
Toka NYC beibi.
Mzee wa Noah
Mzee wa mabebez.
Huyu puto aliwai kuwachangisha matajiri wa dar wote(anavyodai)ili akaoe.
Mpk leo kimyaaa.
Alikua mwenzetu hapa,siku hizi kajikata mazima.
Hana bando au?
Huko aliko mwambieni anahitajika hapa A.S.A.P.