Le mutuz yuko wapi?

Pamoja sana Mr Nice.
 
Tulikuna naye kwa fundi Bajaj akisimamia matengenezo ya babaji zake mbili, mmoja dereva hajafikisha hesabu ya wiki akamzingua
Mim pia dereva bajaji yangu alisepa Kwan inaharibika mara kwa mara amesema haiwezi
Lemutuz aliniahidi atantafutia dereva safi
 
This ageing man is too old to be online..tena on JF..much respect [emoji120] kwake mana anajitajid sana kuwa active kwenye mitandao..ngoja apate mapumziko kdgo..akiwa okay tutamsoma online tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…