Leaked photo of heaven

Leaked photo of heaven

Fauya

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2017
Posts
262
Reaction score
479
Screenshot_20250113-221833~2.png
 
Mungu fundi sana. Mawazo ya binadamu yako limited kwa kile tu ambacho ameona na kuexperience hata heaven anaiwaza ikiwa na majengo. Hata akiwa anasaka uhai anasaka maji sijui kwanini huwa hatuwazi kuwa kunaweza kuwepo uhai katika form nyingine ambayo wala maji si kitu essential kwa uhai huo au aliens hao.
 
Back
Top Bottom