The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Safi tu, u hali gani!?Dada happy mambo 😋😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi tu, u hali gani!?Dada happy mambo 😋😋
Sio watu, sema mabikra saba na nguvu za kiume za kuwafanya 100Mbona hamna watu
Safi dada naomba tamu 😋😋😋Safi tu, u hali gani!?
Halafu huyo malaika ana macho, rangi na nywele za kizungu ha ha ha.Hivi ile mbingu ya malaika akisimama katikati mbawa zake zinagusa kingo za mbingu ni ipi?
Tamu ipi kijana tulia hapo kwenye ufalme wa mileleSafi dada naomba tamu 😋😋😋
Nataka nitulie na wewe tu malaika😋😋😋Tamu ipi kijana tulia hapo kwenye ufalme wa milele
Imeleak kutokea wapi??
Si Tuliambiwa barabara za Dhahabu?mbona theluji tena?
Hiyo ni ice cream za maziwa bob jiongeze🙏imebidi nicheke tu.. kumbe kuna snow nje baridi lake Waafrica tutaliweza kweli?
Kama Kabendera anasema alitaka kumnaniliu Makamu wake,sasa akipewa Geto lake Mbinguni si atataka kuwamaliza Malaika.Jiwe kiongozi wa malaika amepewa chumba gani hapo?
Nani kaipiga hio picha?
Elon musk...Ko nani ameivujisha huko mbinguni?
Nani kaipiga hio picha?