Wako ndaniMbona hamna watu
Mungu fundi sana. Mawazo ya binadamu yako limited kwa kile tu ambacho ameona na kuexperience hata heaven anaiwaza ikiwa na majengo. Hata akiwa anasaka uhai anasaka maji sijui kwanini huwa hatuwazi kuwa kunaweza kuwepo uhai katika form nyingine ambayo wala maji si kitu essential kwa uhai huo au aliens hao.
Huu ujumbe na fikiri ni wa ze bulldozerUnauhakika Fau!?
Heavens are more spiritual you can't see them in naked eyes
AI itasumbua sana watuHuu ujumbe na fikiri ni wa ze bulldozer
unambiwa kupita hapo ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano au umesahau iloMbona majengo ni mengi kuliko idadi ya wateule.?