Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Kwa hio hilo jumba la mtu mmoja tu au?
Yaani seeious JamiiCheck inahangaika na hii habari na picha? Au aletaye mada atakuwa na uwezo wa kuileta JamiiCheck?
Hapo sawaWako ndani
Tutaenea woteKwa hio hilo jumba la mtu mmoja tu au?
Jengo la kuimbia ni lipi hapo?
Tutavaa mabutiimebidi nicheke tu.. kumbe kuna snow nje baridi lake Waafrica tutaliweza kweli?
Kwahiyo Mabuti tunatoka nayo huku kwetu? viwanda vya Bata vipewe tender... wale wanaozikwa na mkeka kazi wanayo wakifika hukoTutavaa mabuti
Size zipo huko juu tunavishwa tuKwahiyo Mabuti tunatoka nayo huku kwetu? viwanda vya Bata vipewe tender... wale wanaozikwa na mkeka kazi wanayo wakifika huko
Ko nani ameivujisha huko mbinguni?
Watu wako motoniMbona hamna watu
Mi staki Jamani 😅Mbona majengo ni mengi kuliko idadi ya wateule.?