Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙌🙌Pia usiache kumshukuru Mungu kwa kila hatua unayopitia.
Oooh aisee pole sana mdogo wanguhuu mwaka kwangu, mbaya...
nimegundua nina tatizo flani lisilotibika, naweza nikapofuka au nikafa mapema, inategemea matibabu yatakavyoenda
asante broOooh aisee pole sana mdogo wangu
As'alu Allah al 'azim rabbil 'arshil azim an yashifik mshamba_hachekwi utapona na utaendelea kuona kaka.huu mwaka kwangu, mbaya...
nimegundua nina tatizo flani lisilotibika, naweza nikapofuka au nikafa mapema, inategemea matibabu yatakavyoenda
Mfano mwema sana, hiyo ni sadaka njema sana na ukazidishiwe zaidi na zaidi.Mwaka jana nilimuahidi mfanyakazi wangu wa nyumbani kuwa ntamjengea nyumba. Ni wa kiume, nilimnunulia kiwanja maeneo ya kiegea Morogoro na mwezi huu wa kwanza nimemkabidhi nyumba ya room 2 pamoja na bajaj ya kuanzia maisha. Namshukuru Mola kwa kuwa niliishi nae kama ndugu na alikuwa muaminifu sana. Lakini pia nilimsomesha veta mambo ya umeme! Hiyo ndio sadaka yangu, sadaqah jariya.
Very sad mkuu ila usikate tamaa kila kitu hutokea kwa sababu.huu mwaka kwangu, mbaya...
nimegundua nina tatizo flani lisilotibika, naweza nikapofuka au nikafa mapema, inategemea matibabu yatakavyoenda
What is bad totoo? 🥹huu mwaka kwangu, mbaya...
nimegundua nina tatizo flani lisilotibika, naweza nikapofuka au nikafa mapema, inategemea matibabu yatakavyoenda
siwezi sema hapaWhat is bad totoo? 🥹
Mungu akusaidie sana mwana ❤️🙏siwezi sema hapa
dah pole sana mkuu mungu akufanyie wepesi kakahuu mwaka kwangu, mbaya...
nimegundua nina tatizo flani lisilotibika, naweza nikapofuka au nikafa mapema, inategemea matibabu yatakavyoenda
Una maanisha?huu mwaka kwangu, mbaya...
nimegundua nina tatizo flani lisilotibika, naweza nikapofuka au nikafa mapema, inategemea matibabu yatakavyoenda
ndioUna maanisha?