Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mtazamo wako tu! songambele na kichina chako! wapo wengine watakaopenda kujifunza!!! salute!!
samahani, nashindwa nikusaidiaje!
samahani, nashindwa nikusaidiaje! we kwani unajifunza kichina ili iweje? akili kumkichwa! hata kimatumbi we jifunze tu ilimradi unawasiliana tu!
Achana na huyu jamaa MF, au wewe ni mgeni naye nini?
Mawazo yake yamekaa ndani ya box, kama mwana-njiwa anayepelekwa uhamishoni!..Anawaza juu ya China, simu ya kichina, tv-screen-china, glasi za maji-China...?
HEY...MOVE YOUR MIND OUT OF THAT BRUTAL SQUARE BOX...
Ndg feeble-minded.
Akili yako haiwezi hata kwa dakika moja kujishughulisha na kitu kinachoitwa 'thinking' na ndio maana i rahisi sana kufikia conclusions ambazo sio sahihi na kudandia treni za India kwa mbele.
Sasa ktk hii thread nadhani wewe ndiye unayetakiwa kuachana na sisi. Bar yako ya uelewa inashindwa kuona tunajadili nini.
More -less the same contents in your all posts!..huh!...COpy-cat?...!
Out of my way, you good-4-nothing Zombie!
Ndg feeble-minded.
Akili yako haiwezi hata kwa dakika moja kujishughulisha na kitu kinachoitwa 'thinking' na ndio maana i rahisi sana kufikia conclusions ambazo sio sahihi na kudandia treni za India kwa mbele.
Sasa ktk hii thread nadhani wewe ndiye unayetakiwa kuachana na sisi. Bar yako ya uelewa inashindwa kuona tunajadili nini.
Nijifunze Ki-Thai ili iweje? Kichina kidogo labda ninaweza ku-consider.
Ili uweze kujilinda, maana jamaa wanakula watu weusi. Sasa kama ukijua lugha yao unaweza sikia wakisema "mkamateni tumle"
Ndg. Abdulhalim umesikia habari hiyo? kazi kwako..either usuke au kunyoa! its your dance!!
Ah mimi sijifunzi wala nini, na huko kwao siendi , niende nikatafute nini hasa? Maana nasikia kuna ngoma kinyama, na nchi yenyewe ni masikini kama Tz na wanakula watu.lol
Kweli naanza kuamini maneno ya PakaJimmy, duh..unasema nchi ni masikini kama Tz hivi umeshawahi kufika Thailand? jamani yaani kama hawa watu kweli wanakula watu wakikusikia watakutafuta ili wakumeze fasta sana wewe! eti ngoma ni nyingi duh wakati TZ ndo inaongoza kwa ngoma! unataka data zaidi? sisi wabongo bado tunajikongoja na nina amini siku moja tutafika kwenye level nzuri tu kimaisha. for your information hawa watu wametuacha mbali sana! unaweza soma habari zao online!