Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Jeans haina tatizo hiyo au Wakili msomi Pascal Mayalla unasemaje ?View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)
It wasn't fair kwa kweri!Afutaroo,she iz entitled as a vweri lenid ofsa of ze koti.Hakupaswa kuvwaa hivyo.Dress kodi mbovu inifronti of ze other lenid brothers!Asante!View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)
Msambwanda angetuonesha hata baadaye.Mtaonaje msambwanda?
Hilo siyo official dressing
Infuakti you are raiti!🤣It wasn't fair kwa kweri!Afutaroo,she iz entitled as a vweri lenid ofsa of ze koti.Hakupaswa kuvwaa hivyo.Dress kodi mbovu inifronti of ze other lenid brothers!Asante!
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Nilikuwa na Dem wangu mmoja hiv anapenda mabwana wanaovaa (L)ABA KALI,MKANDA MKALIIII,SOKSI KALIII,BOKSA KALII, SAA KALI lakini hela anakuja kuniomba mmView attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)
Mtaonaje msambwanda?
Hilo siyo official dressing
Kwa hiyo sehemu aliyokuwa hakustahili kuvaa hivyo, angevaa suti zile wanazovaaga ofisini.View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)
Upo, halafu si unaliona paja hilo!Mbona msambwanda wenyewe hata haupo...
Pimbi wewe kwani hapo ni mahakamani ! Dume zima linawaonea wivu pis kali wakipendeza!View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)
Hakuna kitu, hilo ni puto tu.Upo, halafu si unaliona paja hilo!
Amependeza bana, sema alivovaa ni casual wear, si officisl wear kwenye official function.Hakuna kitu, hilo ni puto tu.
Shapeless.
We vipi, hivi mama Samia akitokelezea kuwapisha makamishna ndani ya jeans utamwelewa?Fanya uoe sio kujadili wake za watu
We vipi, hivi mama Samia akitokelezea kuwapisha makamishna ndani ya jeans utamwelewa?