macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Una maana gani?Leather halafu unasema ngozi halisi..... Tuondoke na lipi? [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maana gani?Leather halafu unasema ngozi halisi..... Tuondoke na lipi? [emoji23]
Ni Mfanyabiashara Mgumu Hata Hivi Wateja Wamekwambia Weka:-Hapo nimekuelewa mkuu, mwanzo nilikua sijakuelewa.
fayfashiontz.kyte.site au Application yetu iliopo Google play store Kwa Jina la Fay Fashion Tanzania, ina bei, mawasiliano na bidhaa zetu ktk categories vizuri kurahisisha kuperuzi.
Pia Instagram na Facebook.
Na laki apa nikopeshe laki nane nikaufate BossKubwa kwako mkuu, mbona watu wananunua mpaka Earphone bei hiyo
Iruke post mkuu, tafuta yenye bei. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha ujinga wewe mbona unakuwa mgumu kuelewa. Yani bidhaa upost JF halafu bei tukaangalie playstore na instagram, umerogwa au
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawaMkuu tafuta mtu akutangazie biashara yako,WEWE HUWEZI...humu umekuja kupoteza wateja sio kutafuta,HUJUI KUTANGAZA.
[emoji1787][emoji1787]Huyu kishoka
Shukrani Sana, UbarikiweNadhani hapa JF watu wanaghairi kuweka bei kwa sababu kuna watu kazi yao ni kukatisha watu tamaa tu. Super_Grego hongeni kwa ujasiriamali mnaoufanya. Naombea mfanikiwe mpate soko hata nje ya nchi. Tanzania tuna ngozi nyingi lakini tunakimbilia kuziuza nje badala ya kutengeneza bidhaa zetu. Nikiona mtanzania anajitahidi namna hii huwa naona furaha sana.