Lebanon yashushiwa mabomu na IDF

Sawa Israel kaipiga Hezbullah kwa njia ya magazeti ya Israel 😄
 
Unaandika kikada sana. Hilo la Israeli kuwa na uwezo mkubwa kijeshi wala siyo siri. Namkubali kada mwenzako Alwaz, yeye anaelewa sana uwezo wa Israeli. Kwa mfano: silaha alizonazo yahudi kama zingekuwa mikononi mwa hamas au hezbollah au Iran, nakuhakikishi kuwa wangesha iangamiza Israeli kwa nuke. Lakini yahudi hana wasiwasi, anajua tu kuwa madogo wanamchokoza na hakuna haja ya kuua inzi kwa risasi.
 
Ndoto ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia inazidi kutoweka na ndio sasa wanazidi kujikita zaidi na dhana ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia itaendelea kubaki ndoto tu milele na milele.
 
Jipe moyo tuu na mngekuwa na uwezo hakuna myahudi angekuwa anaishi Leo, acha mchapwe tuu, wapenda amani tuna support Israel
Na upo sahihu ningekua na uwezo wazayuni wote ningewatia kwenye acid mauaji hayo

Tuchapwe na nani ewe mzayuni wa mexcen Melo 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…