Lebo ya Konde Music WorldWide yamtambulisha msanii wake wa kwanza

Lebo ya Konde Music WorldWide yamtambulisha msanii wake wa kwanza

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,043
Reaction score
8,686
Meneja wa @harmonize_tz #Beauty Mmari a.k.a @mjerumani_255 amtambulisha msanii wa kwanza aliyemwaga wino kusimamiwa na lebo ya Konde Music WorldWide

Kupitia ukurasa wa Instagram meneja huyo wa Harmonize amemtaja @ibraah_tz kama msanii mpya chini ya lebo hiyo
rickmediatz_20200411_3.jpg
 
Meneja wa @harmonize_tz #Beauty Mmari a.k.a @mjerumani_255 amtambulisha msanii wa kwanza aliyemwaga wino kusimamiwa na lebo ya Konde Music WorldWide

Kupitia ukurasa wa Instagram meneja huyo wa Harmonize amemtaja @ibraah_tz kama msanii mpya chini ya lebo hiyoView attachment 1416470
Moja kati ya zile sajili bora kabisa... akimpata na Mario atakuwa kamaliza kabisaa
 
Yetu macho

Najua ni je ya mada lakini umecheki avatar yangu?
 
Kwanza kabisa kamtambulisha kwenye kipindi kibaya kwasasa wanaokiki ni zuchu na malalamiko ya viewers basi
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Back
Top Bottom