😁😁😁😁Wewe pigwa mimba..
Moja kati ya zile sajili bora kabisa... akimpata na Mario atakuwa kamaliza kabisaaMeneja wa @harmonize_tz #Beauty Mmari a.k.a @mjerumani_255 amtambulisha msanii wa kwanza aliyemwaga wino kusimamiwa na lebo ya Konde Music WorldWide
Kupitia ukurasa wa Instagram meneja huyo wa Harmonize amemtaja @ibraah_tz kama msanii mpya chini ya lebo hiyoView attachment 1416470
Wamsaini na Ali Kiba.
Yetu macho
Najua ni je ya mada lakini umecheki avatar yangu?