Inategemea walishazoeshwa kupewa sasa anayewapa anataka kuchoma gar sasa wanaopewaga misaada kutoka kwake kwann wasione kama jamaa anaharibu helaMkuu hela ama Mali zako kuna yeyote anayekupangia matumizi yake?, acha roho chungu pesa watafute wao ww uwapangie jinsi ya kuzitumia Inamake sense kweli, hili tatiz sijui litaisha Lin tz watu hawafanyi kaz kwa bidii, juhudi na maarifa wanabaki kulilia misaada tena wanaona kama haki yao ya msingi
MhMark X mnyama
Kwa wafuasi wa lucifa hata masonic hufanya hivo ule moto una maana yake Kwa imani zao sawa na kutembea juu ya motoIna Maana jamaa wanasurvive kwa kafara? Bado sijaona link ya kupata mali kwa kuharibu mali.
Vipi Kuhusu Mavoko Mkuu ?Wcb inaweza, kwani wamejieza sana angalia wasanii wao wote wana nyumba na mikoko mikubwa ya kutembelea kwa mda mfupi tu
Salam k nahsi syo akil yakoKama Kichwa cha habari kinavyojieleza Meneja wa Diamond Sallam Sk Mendez Akihojiwa na XXL Live pale mlimani City alisema wanapanga kupandisha gari Jukwaani na kulipiga kiberiti live watu wakishuhudia siku ya Party ya Wasafi …
Amedai stunt kama hizo zinasaidia kufanya mziki wetu uendelee kuwa gumzo Afrika na kukua zaidi…..
...Ngumu kumeza, hivi hii imekaaje? Kuna wasanii/lebo au kikundi chochote kilichowahi kufanya kufuru kama hiyo jukwaani humu duniani?
WCB Kiboko aisee!!!
Inahitajika elimu na imani ya ziada sanaKwa wafuasi wa lucifa hata masonic hufanya hivo ule moto una maana yake Kwa imani zao sawa na kutembea juu ya moto