Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

Mkuu hela ama Mali zako kuna yeyote anayekupangia matumizi yake?, acha roho chungu pesa watafute wao ww uwapangie jinsi ya kuzitumia Inamake sense kweli, hili tatiz sijui litaisha Lin tz watu hawafanyi kaz kwa bidii, juhudi na maarifa wanabaki kulilia misaada tena wanaona kama haki yao ya msingi
Inategemea walishazoeshwa kupewa sasa anayewapa anataka kuchoma gar sasa wanaopewaga misaada kutoka kwake kwann wasione kama jamaa anaharibu hela
 
Litatolewa tamko muda si mrefu,
Hivyo hizi habari zaweza kanushwa au wasifanye kweli wakaja kusema ilikuwa tu ni kuvutia watu!!
 
Wafanyao kufuru hizo hi hali masikini wanalalla njaa huwa ndo mwisho wao wakifanya hivo ndo itakuwa mwisho wao kisanii wengi wameporomoka kimaisha baada ya kufuru,hivo waache sifa za kijinga ni heri watoe burudani bure wazid kuwa maarufu
 
Kutamaki wataanza kumchoma moto mmtu mmoja mmoja ktk lebo yao
 
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza Meneja wa Diamond Sallam Sk Mendez Akihojiwa na XXL Live pale mlimani City alisema wanapanga kupandisha gari Jukwaani na kulipiga kiberiti live watu wakishuhudia siku ya Party ya Wasafi …

Amedai stunt kama hizo zinasaidia kufanya mziki wetu uendelee kuwa gumzo Afrika na kukua zaidi…..
...Ngumu kumeza, hivi hii imekaaje? Kuna wasanii/lebo au kikundi chochote kilichowahi kufanya kufuru kama hiyo jukwaani humu duniani?
WCB Kiboko aisee!!!
Salam k nahsi syo akil yako
 
Dah! Kama ni kweli!! Aisee watu wana akili dunia hii. Dhumuni lao iwe gumzo. Na nikipitia michango mingi kwenye huu uzi, naona tayari ni gumzo. Jamaa wameshafanikiwa hata kabla hawajachoma hilo gari lenyewe.
Kuna jamaa aliniambia, tofauti kubwa kati ya masikini na tajiri ni.....masikini hufikiria zaidi jinsi ya kutunza pesa, tajiri hufikiria zaidi jinsi ya kuitumia pesa.
 
Wachome Range/X6 ndio nitajua wako serious lakini wakichoma hivi Vitoyo Baby walker nitaona hawapo serious.
 
Labda maagizo kutoka kwa mtaalam wao.
Ukishakuwa mtumwa wa shetani kila anachokuagiza unatenda.
 
Back
Top Bottom