Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

Wachome tu..siku moja ALIYEwapa hizo pesa atakapozichukua basi watazikumbuka zile walizozitia kibiriti...ndo ulevi ulivyo.
 
Una umri gani?
 
Maisha ni tofauti yaani nimejaribu kuchana chana buku tu nimeshindwa
 
Stunt za kuvuta manyumbu kwenye party yao!
 
Waliposema kuchoma moto walimaanisha kuvuta bangi. Watu mna vichwa vigumu kuelewa
 
We unae ongea kuhusu kuchomwa gari moto,acha kuongea uongo Diamond hawezi kufanya ujinga huo hata siku moja,yule jamaa ni mtaftaji wa pesa anaijua pesa
 
Jay z na kanye west kwenye Otis wanaharibu garii
 
Tuliingia na suti ya pick Kama pinkpather [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…