Lebron James anunua nyumba ya dala milioni tisa!

Lebron James anunua nyumba ya dala milioni tisa!

the-view-from-the-front.jpg




the-view-from-the-back.jpg

hili balaa kweli
 
DU! Jamaa ameshaandika will maana akifa anaweza kusababisha machafuko kwa warithi
 
Fundisho kwa Hasheem Thabeet. Kuwa NBA kunahitaji nidhamu ya hali ya juu na kufanya mazoezi zaidi ya kujituma. Sasa Thabeet yeye anaendaga bongo kuuza sura,kujionyesha raba gani kavaa,vipuri gani kaweka sikioni,demu gani katoka nae,wakati wenzake huku wanajifua kabla ya msimu mpya. No wonder Thabeet wanasema is the floppiest 2nd ranked draft ever!
 
These people are always crazy. Tyson, evander etc used the same path......
 
kaburi halina mbwembwe
Conquest- just like pills😱
 
Fundisho kwa Hasheem Thabeet. Kuwa NBA kunahitaji nidhamu ya hali ya juu na kufanya mazoezi zaidi ya kujituma. Sasa Thabeet yeye anaendaga bongo kuuza sura,kujionyesha raba gani kavaa,vipuri gani kaweka sikioni,demu gani katoka nae,wakati wenzake huku wanajifua kabla ya msimu mpya. No wonder Thabeet wanasema is the floppiest 2nd ranked draft ever!

Jeezzz
 
Maneno ya walio kata tamaa hao , yani una wish a death kwa mtu aliye fanikiwa tena kwa kwa jasho lake na talent hiyo hiyo aliyo pewa na huyo unaye msema aliweka Kifo .
Hebu Fikiria mtu anaishi hivi na mwingine anaishi kwenye nyumba ya nyasi, halafu wote waishi milele, ni haki kweli? Kifo ni Haki na Haki ni kifo
 
Hebu Fikiria mtu anaishi hivi na mwingine anaishi kwenye nyumba ya nyasi, halafu wote waishi milele, ni haki kweli? Kifo ni Haki na Haki ni kifo

Mungu alisema Ombeni na mtapata , sasa je kama yey aliomba? pili utajuaje kama hatio zaka au ku donate some of his income kusaidia wengine, maana hiyo ni kawaida kwa wenzetu, sisi huku ni uchoyo , wivu, ubinafsi na roho mbaya, na ku treat wengine kama watumwa , ndio maana nyie mna ona kusema eti Kifo kifo ,kifo , kifo my butt..
Hata kama kuna kifo, lakini si kaishi vizuri na kama alitenda mema atayakuta mazuri zaidi ya hayo ,hakuna nacho lose hapo, kabarikiwa mwenzenu, anakipaji na ana hela !
 
Si unaona mambo hayo. Sio mzee wa watu Chenge mmemkuta na $1m mkapiga keleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
:whoo::whoo::whoo:
 
Wow! kamjengo katamu hako-kako pazuri!...mwe
 
Back
Top Bottom