Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Kuna page ndio niliiyona hiyo speculation ya GSW kumtaka Giannis, sikujua Kama timu zilizo serious ni hizo zingine.
Ila Mimi naona Harden wangemwacha tu akatimka zake Houston, maana sioni Kama ana kitu kipya Cha kuwaongezea. Tumeona ameshindwa kufika fainali akiwa na CP3 tena walikuwa na chemistry nzuri tu, na sasa hivi Napo ameshindwa akiwa na swahiba wake Russell.
Hahaha... Kuhusu Kawhi sioni akileta ushindani wowote seriously kwa huu mpasuko uliopo kwenye timu yake.
View attachment 1642184
Ukikaribia kuwa free agent, speculations zinakuwa nyingi sana, hasa kwa mchezaji ambaye ana high profile kama Giannis.
GSW hana cap space ya kumchukua Giannis, labda aondoe baadhi ya players kama DRaymond Green kwa trades.
Klay ana max contract, na kwa injuries alizozipata sidhani kama atarudi kuwa Klay yule, hata 80% inaweza isifike, ukiweka na age yake.
Kwa hiyo ukimchukua Giannis huku umeondoa supporting cast ili kubalance vitabu unajikuta unabaki na Big 3 ambayo mmoja siyo that big compared na anacholipwa. Na bench linakuwa la kiwango cha chini.
Kwa hiyo binafsi naona Giannis asipobaki anaweza kwenda Heats, Raptors na labda Dallas. Au atengeneze suoerteam na kina KD.