mtanzania07071989
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 153
- 20
Jamani hapa Chuo kikuu cha RUCO Iringa kuna lecturer fataki,anatembea ovyo na mabinti,anawafelisha wanaomkataa,anachuki na wanadarasa,TUPO KWENYE MKAKATI WA KUMTOA.HATUMTAKI.
Viherehere vyenu ivo.
Jamani hapa Chuo kikuu cha RUCO Iringa kuna lecturer fataki,anatembea ovyo na mabinti,anawafelisha wanaomkataa,anachuki na wanadarasa,TUPO KWENYE MKAKATI WA KUMTOA.HATUMTAKI.
Kuna msichana ambae ni underage kati ya hao alio/anaotembea nao? Kuna mtu ana uhakika jibu aliloandika ni sahihi lakini akakoseshwa?
Huweki Jina hadharani usipost thread yako. Mambo ya Jina limehifadhiwa hatuyataki tena
Viherehere vyenu ivo.
Taarifa,malalamiko,ushauri....
Yeye kina muuma nini? Hili lingesemwa na mdada sawa .,kidume kinalalama...
Bado nipo nipo sana..,
dah hivi vyuo vya mchangani vinamatatizo mengi sana
Anaitwa Gubwe Kalalambe.
Someni acheni kulalamika.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Hujajua tatizo letu ANATUFELISHA,TUMELELI,TUMESUP NA TUMECARY WATU 72 KATI YA 100.ushahidi tunao.Akitufelisha tena Tunadisco,hatuendelei tena na chuo,TUONEENI HURUMA JAMANI.