Leeds United: Nyota iliyozimika katika ulimwengu wa soka

nyuma ya marcelo bielsa yupo mwanadamu anayeitwa Victor Orta , ndiye aliyetoa pendekezo kwa bosi kubwa Radrizzani juu ya usajili wa marcelo bielsa na pia ndiye aliyefunga safari hadi Buenos Aires kwa dhumuni moja tu la kumshawishi marcelo asaini kandarasi.
 
Hawa jamaa huenda wakawa surprise package kwenye ligi next season kama alivyofanya shelfield
 
This season kuna team zitashuka daraja zenye wachezaji wazuri sana.
Hasa Watford na Bornemouth

Ligi ni ngumu sana aisee, nakumbuka Norwich alianza kwa mbwembwe na mzee wao Pukki, mpaka kuna muda walimfunga Man City 3 - 2.

Baadae wakaanza kupigwa pigwa balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…