Hahahaah anawakimbia arsenal...!!!!
hapana , the foxes ni timu inayojulikana na kupendwa na wengi , hata uwanja wao wa king power uwa tunaendaHadi kufikia hatua hii ya EPL, composition ya fans wa Leicester City wa hapa Tanzania ni kama ifuatavyo:
1. Supporters wa Chelsea wapo zaidi ya 95%
2. Supporters kutoka timu nyingine hawazidi 5%
3. Supporters asilia wa Leicester ni 0%
Tunakoelekea inawezekana hizo % za Chelsea zikahamia ManU!!
kaka foxes wanapiga counter attack za maana, ranieri ni mwenyeji wa epl alikuwa kocha wa Chelsea kabla ya mourinhoTeam yoyoye ikiweza kusoma fomeshein wa timu nyengine ni rahisi kuifunga pia yule kocha musisahau mfumo anaotumia ni mfumo wa kwao.mfumo wa itali ni anza nyuma usikae na mpira sana.piga mbele tafuta goli sasa kuiangalia hilo utaliona ndio linalofanywa na LC.
Ameshapigwa liverpoolHa ha ha! Mtaitelekeza thread yenu ... Bado kuna game 20.
Sawa mkuu, ngoja tusubirie. So far, hongereni.Ameshapigwa liverpool
Kapigwa man city
Arsenal anafata
Weeeh acha kabisa! Wale mbwa kwa sasa ni moto mkali. Game spirit ipo zaidi ya 100%. Naapa mbuzi aning'ate hii game hamtoki. Mkipata sana mtaambulia sare.Watani zetu Man U.man city.Chelsea.liverpool. Jumapili msikae mbali mje mshuhudie mbweha wanavyouawa na mizinga ya arsenal sisi ndio dawa ya hawa madogo.
Hawa watoto dawa yao ni sisi mkuu trust me!Weeeh acha kabisa! Wale mbwa kwa sasa ni moto mkali. Game spirit ipo zaidi ya 100%. Naapa mbuzi aning'ate hii game hamtoki. Mkipata sana mtaambulia sare.
J2 c mbali
Tukitoa hilo gamba la Leicester, we ni team gani vile? Chelsea, Liverpool au man u????CHAMA LANGU LEICESTER CITY, BRAVO RIYAD MAHREZ, JAMMY VARDY! THE TROPHY IS KNOCKING ON OUR DOOR! VIVA LEICESTER!
Eti mtu anakuja na mbwembwe kabisa ktk uzi huu na misemo kama, CHAMA LANGU LEICESTER CITY .....!Heeeee Heeeee jf Kuna vituko eti lc thread muwe wazi humu ni mashabiki wa Chelsea man u mnapunguza maumivu
Nami pia ila sio leo, nawapenda leicester wanapozishikisha adabu timu zingine kubwa na kutusaidia arsenal.nipo leicester city kwa mkopo
teh mimi msimuu huu wote nlikuwa wanitesa united...Nami pia ila sio leo, nawapenda leicester wanapozishikisha adabu timu zingine kubwa na kutusaidia arsenal.