Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu nadhani mji wa Leicester umewatuma kombe tu na sio nafasi nyingine.Hongereni sana wapiii Nonda?
Tatizo moyo siyo mimi......Karibu chamani, achana na big clubs, tuanze from zero sote.
Wametumwa na kijiji wasongolist.....ila safi wacha waendelee hivi hivi Timu kubwa zishike adabu .Hawa watu nadhani mji wa Leicester umewatuma kombe tu na sio nafasi nyingine.
Wewe ni mwanachama wa kilabu gani vile[emoji28]Tatizo moyo siyo mimi......
Sijui kasi yao itapungua lini ?yaani wanafanya yale yale ya Blackburn rovers 95 wakanyanyua kwapa ila laana yake ndio hiyo sijui watarudi lini.Wametumwa na kijiji wasongolist.....ila safi wacha waendelee hivi hivi Timu kubwa zishike adabu .
Jidanganye ukisubiria pumzi ya vijana ikate....Sijui kasi yao itapungua lini ?yaani wanafanya yale yale ya Blackburn rovers 95 wakanyanyua kwapa ila laana yake ndio hiyo sijui watarudi lini.
Wala sijidanganyi mimi nitapenda wanyanyue kwapa so nashangazwa na kasi yao namna wanavyozidi kuchanja mbuga ila kama hivyo ni kujidanganya sawa.Jidanganye ukisubiria pumzi ya vijana ikate....
Sioni haya kusema mimi ni Man U damu ila Nina Michepuko km miwili mitatu ya kunipoza pindi nyumba kuu ikinizingua.....Wewe ni mwanachama wa kilabu gani vile[emoji28]
Huwa unachepukia wapi, ninong'oneze mibadala yako, usikute upo kwa vijana wangu leicester citySioni haya kusema mimi ni Man U damu ila Nina Michepuko km miwili mitatu ya kunipoza pindi nyumba kuu ikinizingua.....
Hahhahahha sichepukiii England, wa jirani hanogi aisee unaweza kufa bure !!!!! mimi niko Barca na JuveHuwa unachepukia wapi, ninong'oneze mibadala yako, usikute upo kwa vijana wangu leicester city
the foxes,tunachukua ndoo mwaka huuLeceister city imepata fanz na thread pia[emoji23] [emoji23] kweli wonders shall never end
Sent from my SGH-T999L using JamiiForums mobile app
king power , come join usHawa watu nadhani mji wa Leicester umewatuma kombe tu na sio nafasi nyingine.
Tutajongea siku mkinyanyua kwapa kuja kuwapongeza.king power , come join us
Hahahah karibu mkuu, na msimu ujao mpaka UCL tunachukuaNgoja namimi nijiunge na hawa wakali King power.
Kwa timu za siku hizi ukilinganisha na moto wetu mbona tuna 80% ya kuchkua UEFAHahahah karibu mkuu, na msimu ujao mpaka UCL tunachukua
Kwa hyo Barcelona wa kuzugia[emoji36] [emoji36]Sioni haya kusema mimi ni Man U damu ila Nina Michepuko km miwili mitatu ya kunipoza pindi nyumba kuu ikinizingua.....