Leicester City, Special Thread

Leicester City, Special Thread

1459716606453.jpg



Last year this day


Sent from my SGH-T999L using JamiiForums mobile app
 
Sijui kasi yao itapungua lini ?yaani wanafanya yale yale ya Blackburn rovers 95 wakanyanyua kwapa ila laana yake ndio hiyo sijui watarudi lini.
Jidanganye ukisubiria pumzi ya vijana ikate....
 
Sioni haya kusema mimi ni Man U damu ila Nina Michepuko km miwili mitatu ya kunipoza pindi nyumba kuu ikinizingua.....
Huwa unachepukia wapi, ninong'oneze mibadala yako, usikute upo kwa vijana wangu leicester city
 
Back
Top Bottom