Leleti Khumalo (Sarafina) Star anayeishi na gonjwa linalowasumbua wengi lisilo na tiba(Vitiligo)

Leleti Khumalo (Sarafina) Star anayeishi na gonjwa linalowasumbua wengi lisilo na tiba(Vitiligo)

Pole asee...
Mimi kuna ndugu yangu ulikuwa unamtokea "sina uhakika kama ni mmoja maana yeye alikuwa anapoteza rangi ya mdomo kabisaa ambao kiasilia ni mweusi".

Dawa za asili ndo zilizomponyesha.. sikumbuki ni zipi maana ni muda mrefu umepita ila ni aidha zinatokea songea ama kagera... alipona kabisaa hivyo usipungukiwe na imani kumbuka hakuna mateso ya duniani ambayo mbingu ikashindwa kuziondoa
Zipo kwetu songea zinaitwa chitwani, zinatibu ukoma, ukurutu, znazuia ngozi kuharibka kwa kusambaa zaidi.
 
Yes Binafsi ninao huo ugonjwa, nimehangaika wee mara buguruni, sinza , mara muhimbili mara hindul mandar.... daktar mmoja pale muhimbili aliniambia hakuna dawa ila niende Hindu mandar nafika pale namkuta yeye mwenyewe nikachoka...
Nikaenda clinic moja ya wahindi nikaanza tiba lakini wapi, nimeshukuru tuu mambo mengine yaende
#Vitiligo
pole sana kiongozi
 
Kuna model mmoja marekani na yeye anao ila anajiamini balaa na anapata madili mengi tu ya kazi
 
Back
Top Bottom