Lema aishauri serikali juu ya mikusanyiko

Lema aishauri serikali juu ya mikusanyiko

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
February 2, 2020
Mh. Lema atoa ushauri kwa idara za serikali kuhusu usalama

Mh. Lema mbunge wa CHADEMA na waziri kivuli wa Mambo ya Ndani kambi ya upinzani, atoa ushauri kwa vyombo vya usalama kama Jeshi la Polisi, Idara ya Zimamoto na Uokoaji juu ya kujipanga popote kunapokuwa na mikusanyiko ya kiimani, kisiasa na kijamii.

Amekosoa vyombo vya usalama kujikita zaidi kukabiliana na changamoto za upinzani na kuzembea maeneo mengine ambayo pia yanahitaji mipango thabiti ya usalama.

Vilevile ametaka vyombo hivyo vya usalama kupewa mafunzo ya weledi jinsi ya kukusanya taarifa za intelejensia na kupewa mafunzo ya kudhibiti mikusanyiko mikubwa ya watu ili maafa yasitokee.

Source : ABC Habari
 
Lema yuko sahihi kwenye issue ya crowd management
Issue sio faith ni management ya crowd ,FAITH hutakiwi kuigusa,MFANO KIKOMBE CHA BABU WALIKINYWA HADI MAPROFESA NA MA DOCTOR

Nimeona hata Simbachawene akiongelea faith na mkuu wa mkoa kilimamjaro akiongelea faith

hawako sahihi wanatakiwa kujikita kwenye crowd managemewnt
 
Published on 7 Nov 2014

MANANGING THE MASSES, PREVENTING CRUSHES - SCIENCE


Major events, such as concerts or sports matches, can involve risks. When too many people are in a space which is too small or badly adapted to their numbers, panic can set in, often with fatal consequences - as happened at the Love Parade in Germany in 2010. So the Basigo Project was set up. It aims to improve security at mass events by better understanding how crowds move. In one of its experiments, taking place in Dusseldorf, hundreds of people patiently walk through what looks like an obstacle course. The head of the experiment, Armin Seyfried, explained: "For cars there are traffic rules, there are crossings and tracks, and even traffic lights - so there is some form of regulation. That is not the case for pedestrians. We've learned that we can also influence those rules for pedestrian crossings. The question is: How wide must a structure be to allow a certain number of people to pass through? These figures have hardly been explored before, especially in complex traffic intersection. But we have identified these figures in the experiments." On every run, the 1,400 participants wore hats and each hat had a unique computer-readable symbol on top, so each person's path could be tracked. Simulations of different visitor flows, such as arrivals and departures, will allow potential bottlenecks to be identified before they happen. One participant said: "I've been to several festivals and concerts so I already know the feeling of being in a large crowd. It was interesting to experience it here under controlled conditions. We knew that nothing could happen here, but it was impressive to see how so many people can align in a small place".

Source: euronews knowledge
 
Hapa kwetu tumekuwa tukishudia mikutano mikubwa ya dini.hapajawahi tokea maafa kama hayo yaliotokea Jana kwa waumini waliokuwa wanatoka uwanjani kutakiwa kukanyanga mafuta binafsi nayaona mafuta yasiojulikana nini. Faida zake , chumvi ya upako vitambaa vya upako njia zote hizi ni namna ya kuwapiga fedha waumini uko.ya wizara ya mambo ya ndani kupunguza utitili wa makanisa piga pesa nnchini wangetumia uratibu unaotumika Rwanda kwenye utaratibu wa.kuanzisha kanisa Rwanda



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari wamesharukia hoja
Lema eti anaelekeza vyombo vya usalama,nini cha kufanya
 
Back
Top Bottom