Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...!. Kweli huyu ni nabii wa ukweli!.
wewe ni sukuma gang na huyo magufuli wako amekufa utake usitake huyo magufuli amekufa na huna la kufanya.Tofautisheni utabiri na tamko. Lema alisema, "Mungu amenionesha hutofika 2020" je, Magu alifika 2000 na ngapi? Magu amesitishwa uhai wake lini? Date aliyoseti Lema?
Mfalme Saul akashupaza shingo.Alieota rais atakufa uyo ni Godbless Lema
Alieota rais atakufa uyo ni Godbless Lema
Nadhani ujinga wa Lema usingejulikana kama si Mwamba magufuli kumtumulia vumbi hadi akikimbia nchi .Baada ya kurejea ndio tumeweza jua kuwa Lema kumbe ni kilaza ha kiwangu kikubwa .Enzi zile alitembelea upepo wa lowasaa na dr slaa,leo hii amekuwa kituko aisee
Duuh , may be Mungu alimuonesha kweli
Sijaamini kama hata wewe mkuu umebebwa na upepo wa propagandaDuh...!. Kweli huyu ni nabii wa ukweli!.
P
Acha uongo rejea clip ya Lema ali-set time frame.siyo kufa tu maana kila mtu atakufa.Lema alitabiri kuwa Magufuli atakufa. Na kweli magu kavuta.
Lema alitabiri anguko la Ndugai. Na kweli Ndugai hivi Sasa kafa kisiasa na anaishi kama mama wa nyumbani aliyeolewa kwenye uke-wenza
Hata manabii waliotabiri ujio wa Yesu utabiri wao ulitimia baada ya miaka kibao kuvuka time frame ambayo iliwekwa. Lema ilipita miezi 3 tu. Tarehe 17 March kitu kikavuta.Acha uongo rejea clip ya Lema ali-set time frame.siyo kufa tu maana kila mtu atakufa.