Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Ameandika Lema katika mtandao wa X:
"Jana wakati nakemea kauli yako katika mkutano wa hadhara Murriet Arusha dhidi ya kauli yako na mipango yenu ya KIPUMBAVU juu ya wizi na uporaji wa kura katika chaguzi zinazokuja, nilijikuta natoa mfano mkali ambao umemgusa bila shaka Shemeji yangu mpendwa (Mke wako).
Kuona kauli yake dhidi ya Nape soma: Lema: Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu
"Namheshimu sana Mke wako, tafadhali shemeji yangu aniwie radhi, naomba nipelekee salamu hizi kwake. Hata hivyo bado nasisitiza kuwa kauli yako ni hatari kwa usalama wa Nchi na ya KIPUMBAVU na wewe ni Mtu mwenye KIBURI sana."
Pia soma: Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!
"Jana wakati nakemea kauli yako katika mkutano wa hadhara Murriet Arusha dhidi ya kauli yako na mipango yenu ya KIPUMBAVU juu ya wizi na uporaji wa kura katika chaguzi zinazokuja, nilijikuta natoa mfano mkali ambao umemgusa bila shaka Shemeji yangu mpendwa (Mke wako).
Kuona kauli yake dhidi ya Nape soma: Lema: Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu
"Namheshimu sana Mke wako, tafadhali shemeji yangu aniwie radhi, naomba nipelekee salamu hizi kwake. Hata hivyo bado nasisitiza kuwa kauli yako ni hatari kwa usalama wa Nchi na ya KIPUMBAVU na wewe ni Mtu mwenye KIBURI sana."
Pia soma: Nape: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!