n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Ni kweli kabisa. Ila hata shinda Lissu. Huoni kwamba unapoteza kura yako kwa mtu ambaye hawezi kushinda hata jua litoke usiku?.Mie nishafanya maamuzi kura yangu ni kwa kila mgombea wa Chadema.
Yangu ni hayo tuu manake nitakuwa nimetendea haki maamuzi yangu
Tatizo nchi inaongozwa na wahuni na wagonjwaHuo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Kubaini tatizo ni 50% ya utatuzi!Kwaheri Lema,karibu Gambo!
Ni kweli kabisa, hili genge ni lakufutwa kabisa. Mavyama ya mfukoni kama hii saccos ndio vyanzo vya kina M23. Chama kinachobariki mauaji kama kule njombe hakina tofauti na genge la wahuni. Ngastuka machale kundesa.na kwann wameongeza laki moja tu, wangefanya angalau 500K, cha msingi ili lichama lifutwe tu tupate upinzani kutoka vyama vingine ikiwezekana waungane
CHADEMA mnalia lia sana.Ifike mahali mchukue hatua sasa
Hujui wachaga wewe mwambie aende kwa wagogo DodomaHa ha ha lema amepata kihoro, kwa alichokiona Mo Town na Hai leo. Kesho atazimia kabisa. Hakuna kitu kinauma kama kujiandaa kula, halafu unyimwe chakula tena mbele ya hadhara. Kafanya kampeni weee, Magufuli anakuja kutibua kila kitu. Magufuli kesho kanyajia palepale.
Huo ndio mchezo wa CCM katika kila uchaguzi. Wana mbinu kuu tatu.
1. Wapiga kura hewa.
2. Kubadilisha matokeo (chekundu-cheusi)
3. Vituo hewa.
Ukizuia hapo, CCM hawawezi kuvuka popote.
Nguvu ya umma ndio jawabu ya haya yoteAkiongea na Vyombo Vya Habari katika Ofisi za jiji la Arusha wakati akiwasilisha malalamiko yake kwa Mkurugenzi msaidizi wa uchaguzi dkt John Pima ,Mgombea Ubunge wa jimbo la Arusha Mjini chadema,Godbless Lema amedai kushtukia mpango uliosukwa wa kuongeza majina hewa ili kukipa ushindi Chama cha mapinduzi.
Akiongea kwa uchungu huku akilengwalengwa na machozi ,Lema amesema awali wapiga kura kwenye daftari la kudumu jimbo la Arusha mjini walikuwa zaidi ya laki 240 lakini Jana wameshangaa kuona kwenye daftari hilo kuna wapiga kura zaidi ya laki 370 ikiwa ni ongezeko la wapiga kura hewa zaidi ya 100 .
Lema amesema baada ya kumuuliza dkt. Pima ameshindwa kutoa ufafanuzi badala yake aliwatuliza viongozi wa chadema na kuwataka wafike Ofisini kwake ili atoe ufafanuzi.
Hata hivyo Lema amesema Chama chake kimejipanga kuandika barua ya malalamiko kwa Mkurugenzi wa uchaguzi NEC ,dkt Wilson Mahera kupeleka kilio chao
Amesema ameshutushwa pia na hatua ya Mgombea wa ccm,Mrisho Gambo kwenda kuomba kura kwa wanafunzi wa sekondari ambao alidai ndio wametayatishwa kupiga kura siku ya uchaguzi jambo ambalo aliwaonya Wazazi wao kutowaachia watoto wao waliochini ya miaka 18 kushiriki mchezo huo mchafu wakati hawakujiandikisha kuwa wapiga kura.
Halikadhalika amesema kuwa ameshangaa katika Ofisi ya Mkurugenzi kumkuta mkuu wa wilaya ya Arusha Kenan Kihongosi na DSO wakichambua fomu za mawakala jambo ambalo mkuu wa wilaya hahusiki kabisa na suala la uchaguzi na kudai kuwa kuna mpango wa maksudi wa kuhujumu mawakala wao.
Hata hivyo waandishi wa Habari waliofurika katika Ofisi za jiji la Arusha kutaka kupata ufafanuzi wa tuhuma hizo kwa dkt Pima msimamizi msaidizi wa uchaguzi, alikataa kutolea ufafanuzi jambo hilo huku akiahidi kuita wanahabari kwa muda wake.
"Nitawaita wakati mwingime nitaonga na nyingi si jambo hili tu nitawaeleza na mengine yanayohusi uchaguzi" alisema huku akiingia Ofisini kwake.View attachment 1608588
Kwanini mnalazimisha watoto wa shule form one na form two wakapige kura?! ole wenu wakaonekane vituoni tarehe 28.10.2020, watajuta.Wapiga kura hewa??
Jamaa kathibitisha vipi kuwa hao wapigakura ni hewa??
nawaambia mtaleta machafuko ambayo hayatakua na msingi wowote ..wakati wote ccm ndio wamekua wakileta uvunjifu wa amani ..ila kwa Mungu hakuna mwenye dhuluma atashinda ....safari hii hata bao la mkono halitakuepo..Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
hakuna kitu kibaya kama DHULUMA ...nawaapia watakufa wamesimama wima ...Afrika bado sana kila kitu tupo nyuma zulma kila mahali! inawezeka laana ilihusika
we mlevi, waambie wenzio hamtapata lolote mwaka huu ...Chadema mtazusha kila aina ya uwongo ila hatuna huruma na Wasaliti wa Nchi
October 28 tutahakikisha hampo Tanzania,
Huyo Gambo mchambua mchele akatafute kazi tu hotelini!Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Haina shida nitakuwa nimeitendea haki nafsi yangu. Potelea pote. Ila magu siwezi mpa kura hata mgombea yeyete wa ccm. Shida ni kikokotooo kinaniuma sanaNi kweli kabisa. Ila hata shinda Lissu. Huoni kwamba unapoteza kura yako kwa mtu ambaye hawezi kushinda hata jua litoke usiku?.