CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Hii inamsaidia ushahidi pindi atakopeleka pingamizi mahakamani baada ya uchaguzi.Yaani Lema anakata rufaa kwa mahera wa NEC huku akitegemea miujiza?
Ajabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inamsaidia ushahidi pindi atakopeleka pingamizi mahakamani baada ya uchaguzi.Yaani Lema anakata rufaa kwa mahera wa NEC huku akitegemea miujiza?
Ajabu sana.
Vituo hewa Mwanza
Sasa kama huwajui ndo usingewataja Mkuu... ujue kujisifu na kujivunia ulichonacho ni jambo jema ila sio kuwadharau au kuwataja kihasihasi wengineI don't know about others
I know and proud for what we are[emoji857][emoji857][emoji857]
TBC je?View attachment 1608966
Nimeiangalia hiyo channel yako ila nimeona imejaa mambo ya upande mmoja tu. Si ni kama sehemu yenu ya propaganda tu.
Muongo,ninyi ndio waongo wezi wakubwa mnaiba huku hamna akiliView attachment 1608980Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Naona mkiwa kwny harakati za kuomba kura.View attachment 1608954
TBC je?
Ni kweli kabisa, hili genge ni lakufutwa kabisa. Mavyama ya mfukoni kama hii saccos ndio vyanzo vya kina M23. Chama kinachobariki mauaji kama kule njombe hakina tofauti na genge la wahuni. Ngastuka machale kundesa.
Unalipwa bure tu wewe!Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Kyna tofauti kati ya tume na tume huru...Tume iwakemee watendaji wa mikoa, wilaya wanaojaribu kuvuruga uchaguzi.
Huo uwongo wenu wa chadema mwisho wenu ni October
Teh teh teh 🤣🤣🤣 sio kuwaokoa mkuu ila kuwakumbusha wajibu.Naona unajaribu kuwaokoa tume na makando kando yao.
Mkuu tafadhali usiweke maneno kwenye kinywa changuSasa kama huwajui ndo usingewataja Mkuu... ujue kujisifu na kujivunia ulichonacho ni jambo jema ila sio kuwadharau au kuwataja kihasihasi wengine
,[emoji23][emoji23] Labda ukoo wenu ndio wapiga kura pekee.Ni kweli kabisa. Ila hata shinda Lissu. Huoni kwamba unapoteza kura yako kwa mtu ambaye hawezi kushinda hata jua litoke usiku?.
Ni rahisi sana unachukua daftari la kupiga kura unalinganisha na orodha ya wapiga kura iliyobandikwa kwenye mbao kama idadi inalingana au la!! Ukikuta kuna majina ya wapiga kura kwenye mbao yameongezeka tofauti na kwenye daftari la kupiga kura ujue mmepigwa tayari,Wapiga kura hewa??
Jamaa kathibitisha vipi kuwa hao wapigakura ni hewa??